Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
we nyumbu ni mpumbavu na mtu usiye na akili hata kidogo. Kiswahili ni lugha ya kiafrika inyozungumzwa na watu wengi zaidi duniani hapa, unafikiri kiingereza kikitumika katika kila kitu hii lugha si itakufa kama latin. Wewe umeshakuwa brainwashed and the fact that you wrote this comment in swahili proves that you are a fool![]()
![]()
![]()
Kenya is the most diversed nation in east Africa. Hilo ndio jambo ambalo hamuelewi! Kuna watu kutoka sehemu mbali mbali as Ethiopia,Somalia, Seychelles,India,Uganda etc... How do you expect us to adupt an all round swahili language ?? So ilionelea kiingereza ikuwe lugha ya kwanza ju its a universal language. Nyinyi na Ubwongolala yenyu mkaweka Kiswahili itumike entirely hadi kwenye education system! na mnajua tu vizuri curriculum mnayoitumia sio ya Kiswahili
![]()
![]()
![]()
![]()
Sasa mnasomaje Biology na Chemistry kwa kiswahili?? How??


