mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,513
![]()
![]()
![]()
Kenya is the most diversed nation in east Africa. Hilo ndio jambo ambalo hamuelewi! Kuna watu kutoka sehemu mbali mbali as Ethiopia,Somalia, Seychelles,India,Uganda etc... How do you expect us to adupt an all round swahili language ?? So ilionelea kiingereza ikuwe lugha ya kwanza ju its a universal language. Nyinyi na Ubwongolala yenyu mkaweka Kiswahili itumike entirely hadi kwenye education system! na mnajua tu vizuri curriculum mnayoitumia sio ya Kiswahili
![]()
![]()
![]()
![]()
Sasa mnasomaje Biology na Chemistry kwa kiswahili?? How??
Hatimaye inakwenda kuwa official continental language heshima kwa tanzania na watz wote,wewe kaa ukikula githeli na kuongea kiingerea hapo.