ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
leta link maneno mengi ya nn๐๐๐๐ revenue ya mwaka unasema ya mwezi nimecheka sana sifa zitawaua๐๐๐1 month..if u cant swalow that jinyonge
leta link maneno mengi ya nn๐๐๐๐ revenue ya mwaka unasema ya mwezi nimecheka sana sifa zitawaua๐๐๐1 month..if u cant swalow that jinyonge
i repeat, i love development but hate a leader who use some dictatorship tactics to bring development.rafiki zangu wakenya na watz, naomba tuweke kando tofauti zetu kwa mda, tuungane kwa pamoja kuunga mkono harakati za waganda katika kumtaka rais museveni kumuachilia huru mwanasiasa na mwanamziki bob wine.
tuungie twitter na kuandika chochote kuhusu hili. binafsi tayari nimeshafanya hivyo.
tusipuuze kwa kudhani "ati hayatuhusu". leo bobwine, kesho wewe, mimi au ndugu yako wa karibu. tukumbuke watawala wa kiafrika wana tabia ya kuigana.
napenda sana maendeleo but honestly speaking sipendi utawala wa kidikteta ambao unaiyemelea tz chini ys magufuli.
coward u know it very wellleta link maneno mengi ya nn๐๐๐๐ revenue ya mwaka unasema ya mwezi nimecheka sana sifa zitawaua๐๐๐
6.2 million tanzanians live in slums!!!!!!!!!!!......mkoko umealika maua๐๐๐
Leo umeongea pointrafiki zangu wakenya na watz, naomba tuweke kando tofauti zetu kwa mda, tuungane kwa pamoja kuunga mkono harakati za waganda katika kumtaka rais museveni kumuachilia huru mwanasiasa na mwanamziki bob wine.
tuungie twitter na kuandika chochote kuhusu hili. binafsi tayari nimeshafanya hivyo.
tusipuuze kwa kudhani "ati hayatuhusu". leo bobwine, kesho wewe, mimi au ndugu yako wa karibu. tukumbuke watawala wa kiafrika wana tabia ya kuigana.
napenda sana maendeleo but honestly speaking sipendi utawala wa kidikteta ambao unaiyemelea tz chini ys magufuli.
In Lamu, donkeys r the means of transport!
ITS A HERITAGE SITE-UNESCO CERTIFIEDIn Lamu, donkeys r the means of transport!
i repeat, i love development but hate a leader who use some dictatorship tactics to bring development.
So in World Heritage site, cars r not allowed? Can u substantiate that?ITS A HERITAGE SITE-UNESCO CERTIFIED
hahahaha.hahaha........i thought magu was a "god" in tz....kuchoma vifaranga vya kikenya na kuzuia bidhaa ndio uongozi bora .........lol
Kumuachia huru Bob Wine ni sawa ila we have to look at a bigger picture kwann Wakenya wako kimbelembele kui-instigate revolt in Uganda! Was Museveni any better before? Kenyans r just seeking to sabotage Museveni after the regional prospects' equilibrium is seen tilting towards unfavorability to them.rafiki zangu wakenya na watz, naomba tuweke kando tofauti zetu kwa mda, tuungane kwa pamoja kuunga mkono harakati za waganda katika kumtaka rais museveni kumuachilia huru mwanasiasa na mwanamziki bob wine.
tuungie twitter na kuandika chochote kuhusu hili. binafsi tayari nimeshafanya hivyo.
tusipuuze kwa kudhani "ati hayatuhusu". leo bobwine, kesho wewe, mimi au ndugu yako wa karibu. tukumbuke watawala wa kiafrika wana tabia ya kuigana.
napenda sana maendeleo but honestly speaking sipendi utawala wa kidikteta ambao unaiyemelea tz chini ys magufuli.
umekosa ushahidi๐๐๐๐๐coward u know it very well
jipeni matumaini mkiombwa official link munakimbia๐๐๐๐๐๐6.2 million tanzanians live in slums!!!!!!!!!!!......mkoko umealika maua๐๐๐