Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Apart from Dar ni wapi kwengine kuna airport Tz!?? Ebu leta evidence naweza panda ndege from Kigoma/Mwanza/Arusha/Dodoma to Qatar!! acha ufala hapa.
Hebu soma... Najua haumini... kia since 2012 mombasa 6 yrs behind
Screenshot_20180917-235052.jpg
 
najua sisi hatuna uwezo wa kupambana na Wakenya kwa lolote...wenzetu wanazo-strategies kwenye kila field;iwe ni biashara,elimu,ulinzi,ustaarabu mpaka intertainment so,kupambana na Wakenya ni kupoteza muda!
enyewe. ni kupoteza muda. wawache waendelee kushindana na ndovu kunia....
kikikikikiiiiiii
 
Ni Mwendawazimu tu ndiyo leo hii anaweza kusema kwamba Wakenya hawatuwezi wakati Kiuhalisia na kwa wale wenzangu na mie tuliobahatika kidogo tu kutembelea hiyo nchi ukweli ni kwamba Wakenya wametuacha nyuma ' almost ' kwa Vitu vingi na katika Nyanja / Sekta nyingi tu. Siku zingine mnapoona Mada nzito kama hizi ambazo zinahitaji michango ya Great Thinkers na Wewe ukijijua kabisa ama Kichwani mwako hazikutoshi au Bangi kama siyo Gongo imekutawala basi usiwe unapoteza muda wako Kuchangia kwani utakuwa unajidhalilisha tu na tutazidi Kukupuuza vile vile.
ni kweli wendawazimu wapo hapa kwenye huu uzi wa Battle
 
Huyu si mkenye. Ni mtanzania aliye fika Kenya. Hata wewe ukisafiri ukuje huku utakubali tu hivyo
wengi washafika na ni vizuri wanawafamisha wenzao ambao bado hawaamini. hawa waliopo hapa, vichwani mwao wanatawaliwa na bangi mbichi na gongo
>>>>
Ni Mwendawazimu tu ndiyo leo hii anaweza kusema kwamba Wakenya hawatuwezi wakati Kiuhalisia na kwa wale wenzangu na mie tuliobahatika kidogo tu kutembelea hiyo nchi ukweli ni kwamba Wakenya wametuacha nyuma ' almost ' kwa Vitu vingi na katika Nyanja / Sekta nyingi tu. Siku zingine mnapoona Mada nzito kama hizi ambazo zinahitaji michango ya Great Thinkers na Wewe ukijijua kabisa ama Kichwani mwako hazikutoshi au Bangi kama siyo Gongo imekutawala basi usiwe unapoteza muda wako Kuchangia kwani utakuwa unajidhalilisha tu na tutazidi Kukupuuza vile vile.
 
Wadau samahanini sijui kama ni mbaya mtu kueleza jambo lake. ...
Kuna rafiki yangu kafariki leo ajali ya bodaboda...nlimaliza had chuo miaka michache tu iliopia,nmeumia sana!!tuishi kwa amani mazee
Pole sana mkuu.. pikipiki noma sana, ilikua bara bara ipi?
 
Ahaaa haaa haaa
unless you are not a general planning scheme (GPS) professional, there is a big difference between UNPLANNED SETTLEMENTS and slums. compare makongo juu Dar and kibera Nairobi.
this is
Vyovyote vile iwavyo kuna cha kujivunia katika vyote hivyo? Humu ndani picha slums za Kenya zinazokuwa posted n from Kibera tu lakini aerial view ya mji wowote wa Tzn ni poorly unplanned settlements as you call it tena huko unplanned ni maeneo yenye nafuu but place kama Gomz yaani nyuma ya nyerere road ni hovyo kabisa yaani angalau mashowrooms yanaficha aibu
 
Back
Top Bottom