Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kushindilia tena
e109b3a8be906d05045c7b4cce792943.jpg
 
Sasa nyumba ya ten floor unaleta ya nini hapa?
it's not about the floors. It's the quality, a five star hotel.Hapa africa masuala ya kubuild skyscrapers yamekuja juzi juzi tu hapa, uliza sears tower, chicago au empire state building , Ny so just because a building is ten storeys high doesn't mean that it's cliche coz we got a long way to go
 
Wadau samahanini sijui kama ni mbaya mtu kueleza jambo lake. ...
Kuna rafiki yangu kafariki leo ajali ya bodaboda...nlimaliza had chuo miaka michache tu iliopia,nmeumia sana!!tuishi kwa amani mazee
pole sana tuusan. nimeguswa sana na hiyo taarifa. asante kwa kutushirikisha.

nitoe wito kwa rafiki/watani zetu wakenya kwenye jukwaa hili,mwisho wa siku sisi ni binaadamu tu. tunapitia nyakati za furaha na nyakati za majonzi.

hivyo basi msisite kutushirikisha kwenye taarifa za majonzi. sio kila siku kupost flyovers, highways na magorofa ya CBD.
 
mi sidhani kama ndugu yangu umeshawahi kufika kenya. Unasema eti miji ya kenya imepangiliwa. ,Miji gani hiyo???? tuambie labda kuna new cities za kenya ambazo hatuzijui
Hata bila kufika picha znajionyesha mnazotupia wenyewe humu nimefik kisumu pamepangika vizuri kuliko mwanza na sielewi kama hili nalo linaubishi
 
Hata bila kufika picha znajionyesha mnazotupia wenyewe humu nimefik kisumu pamepangika vizuri kuliko mwanza na sielewi kama hili nalo linaubishi
mi napajua mwanza kama kiganja changu, kisumu huo mji wenye byciles for taxis uulinganishe na Mwanza au ngoja nikuonjeshe mwanza uione
e109b3a8be906d05045c7b4cce792943.jpg
mza1.jpg
upload_2017-12-18_23-42-21.png
IMG_0019.JPG
 
Hili wala lisikupe presha mkubwa muda utafika we will build vertical city kwny baadhi ya maeneo wamarekeni wanaita projects tukifanya hiv tutasecure maeneo makubwa tu karibu na CBD hayo yatatumika kwa ajili ya parks,public services na mengine yatauzwa kwa gharama kubwa kwa ajili ya uwekezaji binafsi sasa hiv ni miundo mbinu kwanza ndo msingi kukaa kwny hayo maghorofa ya kufanana tope kila mahali bado ni umaskini tu yasikutishe wanaojiweza hukaa nje ya mji wakimiliki ekari na ekari hiyo mpk ulaya iko hivyo!!!
Hata bila kusubiri kwenda vertical nachotaka maeneo ya makazi yapimwe ili hata kama mtu ana uwezo wa banda la vyumba viwili cha msingi lijengwe kwenye maeneo yaliyopimwa sio kama ilivyo sasa ni rubbish mbona Zambia vinyumba vyao vya ajab ajab lakini vimejengwa kwa mpangilio?
Maana kasumba iliyoko bongo saizi anayejenga plot basi ni mwenye nafuu kiuchumu maelfu wameacha kujenga squaters and no one cares ndo nn?
 
mi napajua mwanza kama kiganja changu, kisumu huo mji wenye byciles for taxis uulinganishe na Mwanza au ngoja nikuonjeshe mwanza uioneView attachment 869228View attachment 869230View attachment 869231View attachment 869232
Maeneo ambayo wanaishi watu wenye nafuu kiuchumi ndio pekee yamepimwa kwa tzn kama Capri point uliyopost etc but igoma huko kilumba and the likes ni uswahili tupu,kwa nn maeneo yote yasipimwe ila hadhi ya makazi ndio itofautishe status badala ya kuwa na uswazi mwingi mjini? Shida ni nn hasa?
 
Kwa minajiri ya kuendeleza ubishani ili siku ipite sawa ila kwa reality miji ya Kenya iko poa hasa inanikosha planning na mazingira.
Laiti kama tzn ingezingatia mipango miji na mpangilio mzuri wa makazi miji ya Dar,Arusha,Mwanza na Mbeya ingependeza sana kuliko hiyo miji ya kikenya coz ina mandhari tamu but unfortunately utasikia humu jukwaani wadau wa bongo wanajifariji eti ni unplanned settlement sio slums.
 
Maeneo ambayo wanaishi watu wenye nafuu kiuchumi ndio pekee yamepimwa kwa tzn kama Capri point uliyopost etc but igoma huko kilumba and the likes ni uswahili tupu,kwa nn maeneo yote yasipimwe ila hadhi ya makazi ndio itofautishe status badala ya kuwa na uswazi mwingi mjini? Shida ni nn hasa?
Umefika paris na frankfurt?. Usilie sana maana kununua kiwanja kibada kwa usd 20000 ni shida ila ukienda chanika ni sh laki nnee. Wazo lako zuri kuwa hata wenyeviti wa vitongoji wawe wanaweka hata barabara. Je Mbezi juu na Goba na makongo pia ni watu maskini?
 
Back
Top Bottom