sevenup
JF-Expert Member
- Aug 17, 2018
- 2,548
- 2,448
Sasa nyumba ya ten floor unaleta ya nini hapa?

Sasa nyumba ya ten floor unaleta ya nini hapa?

it's not about the floors. It's the quality, a five star hotel.Hapa africa masuala ya kubuild skyscrapers yamekuja juzi juzi tu hapa, uliza sears tower, chicago au empire state building , Ny so just because a building is ten storeys high doesn't mean that it's cliche coz we got a long way to goSasa nyumba ya ten floor unaleta ya nini hapa?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
pole sana tuusan. nimeguswa sana na hiyo taarifa. asante kwa kutushirikisha.Wadau samahanini sijui kama ni mbaya mtu kueleza jambo lake. ...
Kuna rafiki yangu kafariki leo ajali ya bodaboda...nlimaliza had chuo miaka michache tu iliopia,nmeumia sana!!tuishi kwa amani mazee
Hata bila kufika picha znajionyesha mnazotupia wenyewe humu nimefik kisumu pamepangika vizuri kuliko mwanza na sielewi kama hili nalo linaubishimi sidhani kama ndugu yangu umeshawahi kufika kenya. Unasema eti miji ya kenya imepangiliwa. ,Miji gani hiyo???? tuambie labda kuna new cities za kenya ambazo hatuzijui
render on point..Laugh to this also.... 370m tall malindi tower and groundbreaking is at DEC this yearView attachment 869173View attachment 869175View attachment 869177






mi napajua mwanza kama kiganja changu, kisumu huo mji wenye byciles for taxis uulinganishe na Mwanza au ngoja nikuonjeshe mwanza uioneHata bila kufika picha znajionyesha mnazotupia wenyewe humu nimefik kisumu pamepangika vizuri kuliko mwanza na sielewi kama hili nalo linaubishi
ukimaliza kulia niambie😂😂😂😂Sasa nyumba ya ten floor unaleta ya nini hapa?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hata bila kusubiri kwenda vertical nachotaka maeneo ya makazi yapimwe ili hata kama mtu ana uwezo wa banda la vyumba viwili cha msingi lijengwe kwenye maeneo yaliyopimwa sio kama ilivyo sasa ni rubbish mbona Zambia vinyumba vyao vya ajab ajab lakini vimejengwa kwa mpangilio?Hili wala lisikupe presha mkubwa muda utafika we will build vertical city kwny baadhi ya maeneo wamarekeni wanaita projects tukifanya hiv tutasecure maeneo makubwa tu karibu na CBD hayo yatatumika kwa ajili ya parks,public services na mengine yatauzwa kwa gharama kubwa kwa ajili ya uwekezaji binafsi sasa hiv ni miundo mbinu kwanza ndo msingi kukaa kwny hayo maghorofa ya kufanana tope kila mahali bado ni umaskini tu yasikutishe wanaojiweza hukaa nje ya mji wakimiliki ekari na ekari hiyo mpk ulaya iko hivyo!!!
hahaha...watu wa namna hiyo hata hapo kenya wapo wengi sana, tukiamua kuleta tweet za wakenya wanaokosoa masuala ya kenya jf haitatosha.duh! pole kwa yaliyokukuta.
yaani ulitamani ubembee vile.... utamu usiishe, sio?










Maeneo ambayo wanaishi watu wenye nafuu kiuchumi ndio pekee yamepimwa kwa tzn kama Capri point uliyopost etc but igoma huko kilumba and the likes ni uswahili tupu,kwa nn maeneo yote yasipimwe ila hadhi ya makazi ndio itofautishe status badala ya kuwa na uswazi mwingi mjini? Shida ni nn hasa?mi napajua mwanza kama kiganja changu, kisumu huo mji wenye byciles for taxis uulinganishe na Mwanza au ngoja nikuonjeshe mwanza uioneView attachment 869228View attachment 869230View attachment 869231View attachment 869232
Mwanza ni katown kadogo sana hapa ,ndio hiyo Eldoret mji Wa tano kwa ukubwa hapa kenyami napajua mwanza kama kiganja changu, kisumu huo mji wenye byciles for taxis uulinganishe na Mwanza au ngoja nikuonjeshe mwanza uioneView attachment 869228View attachment 869230View attachment 869231View attachment 869232
Xjasafiri nje ya EAC but bongo na Nai,Nai iko vizuri thus why ndo mshindani anayejaribu kupitwaNai ni nini bana mpaka ikupe tumbo la kuhara,au hujasafiri kijana!!!!!
ndio akili yako ilipoishia hapo maskini ya Mungu😂😂😂😂👆👆👆👆👏👏👏Mwanza ni katown kadogo sana hapa ,ndio hiyo Eldoret mji Wa tano kwa ukubwa hapa kenyaView attachment 869238View attachment 869239View attachment 869241View attachment 869242View attachment 869246View attachment 869248
Mwanza i the sixth largest city in the east african community after dar, nbo, kampl,mbs na kigalMwanza ni katown kadogo sana hapa ,ndio hiyo Eldoret mji Wa tano kwa ukubwa hapa kenyaView attachment 869238View attachment 869239View attachment 869241View attachment 869242View attachment 869246View attachment 869248
Umefika paris na frankfurt?. Usilie sana maana kununua kiwanja kibada kwa usd 20000 ni shida ila ukienda chanika ni sh laki nnee. Wazo lako zuri kuwa hata wenyeviti wa vitongoji wawe wanaweka hata barabara. Je Mbezi juu na Goba na makongo pia ni watu maskini?Maeneo ambayo wanaishi watu wenye nafuu kiuchumi ndio pekee yamepimwa kwa tzn kama Capri point uliyopost etc but igoma huko kilumba and the likes ni uswahili tupu,kwa nn maeneo yote yasipimwe ila hadhi ya makazi ndio itofautishe status badala ya kuwa na uswazi mwingi mjini? Shida ni nn hasa?