sevenup
JF-Expert Member
- Aug 17, 2018
- 2,548
- 2,448
Mwanza pengine iwe namba twenty nyuma ya Eldy,Nakuru,kisumu,kisii,Thika,Meru na zingine nyingiMwanza i the sixth largest city in the east african community after dar, nbo, kampl,mbs na kigal

Mwanza pengine iwe namba twenty nyuma ya Eldy,Nakuru,kisumu,kisii,Thika,Meru na zingine nyingiMwanza i the sixth largest city in the east african community after dar, nbo, kampl,mbs na kigal

Truth hurts but it's the candid truthMwanza pengine iwe namba twenty nyuma ya Eldy,Nakuru,kisumu,kisii,Thika,Meru na zingine nyingi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
You are forcing shit on us you dickhead.mi napajua mwanza kama kiganja changu, kisumu huo mji wenye byciles for taxis uulinganishe na Mwanza au ngoja nikuonjeshe mwanza uioneView attachment 869228View attachment 869230View attachment 869231View attachment 869232
Sawa,nyinyi endeleeni kuita vijiji citiesTruth hurts but it's the candid truth

This building I doubt hata ka imefika 12 floors.amka sasa nishakuamsha tayari😂😂😂👇👇👇👇👇👇👇👇
View attachment 869216
Kwa minajiri ya kuendeleza ubishani ili siku ipite sawa ila kwa reality miji ya Kenya iko poa hasa inanikosha planning na mazingira.
Laiti kama tzn ingezingatia mipango miji na mpangilio mzuri wa makazi miji ya Dar,Arusha,Mwanza na Mbeya ingependeza sana kuliko hiyo miji ya kikenya coz ina mandhari tamu but unfortunately utasikia humu jukwaani wadau wa bongo wanajifariji eti ni unplanned settlement sio slums.
Acha tu kaka hii habari kwakweli imeniumiza sana!!pole sana tuusan. nimeguswa sana na hiyo taarifa. asante kwa kutushirikisha.
nitoe wito kwa rafiki/watani zetu wakenya kwenye jukwaa hili,mwisho wa siku sisi ni binaadamu tu. tunapitia nyakati za furaha na nyakati za majonzi.
hivyo basi msisite kutushirikisha kwenye taarifa za majonzi. sio kila siku kupost flyovers, highways na magorofa ya CBD.
hata wewe pia umepitia flyover?Furaha tele tele leo
Magufuli oyeeeeee
pole broWadau samahanini sijui kama ni mbaya mtu kueleza jambo lake. ...
Kuna rafiki yangu kafariki leo ajali ya bodaboda...nlimaliza had chuo miaka michache tu iliopia,nmeumia sana!!tuishi kwa amani mazee
your sarcasm sucksSawa,nyinyi endeleeni kuita vijiji cities![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
don't tag me you son of a bitch, go ******* yourselfYou are forcing shit on us you dickhead.
Watz tuache kutia aibu yaani tu fly over 2 ndo kelele jukwaa zima afadhali hata tungekuwa karibu ku catch up na wakenya no wonder hatukujifunza kwa aibu ya kusherehekea lift
Tuna kaz kubwa ya kufanya kuhakikisha tunajenga miji yenye mandhari ya kuvutia na planned kama miji ya kenya.Mda wakati wa kuivimbia Kenya bado sana tena sana kelele za kijinga zipungue
Someone shared this before, he said it is built in Mombasa,Laugh to this also.... 370m tall malindi tower and groundbreaking is at DEC this yearView attachment 869173View attachment 869175View attachment 869177
endelea kujipa matumaini hvo hvoThis building I doubt hata ka imefika 12 floors.
Tell dem.![]()
hakuna haja tujidanganye hpa
Nmesoma iyo makala vizur muandishi ni mkenya,BTW Nairobi wameinvest ksh5.4 trillion while Dar is ksh2.5trillion followed by Kampala ksh1.6trillion and Mombasa ksh 800billions...hii nazungumzia east Africa. ..
Katika ranks kama izo hua binafsi hazinishtui sababu similiki hata jengo la floor 5 kusema na mm nmechangia iyo list kuwepo...napata waswas kwa ndezi kama wewe unaefanya sherehe kabisa na pesa za wanaume wengine![]()
![]()
![]()
...wake up buddy Nbo bado sana kusema mko mahali hata Durban ipo mnatuma video na picha hapa lakin bado mko down sana tu
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Ni Mimi nilisema Mombasa lakini inajengwa Malindi eneo la watamu beachSomeone shared this before, he said it is built in Mombasa,
they changed to Malindi?
my friend....wacheni NAIROBI IITWE NAIROBIII............!!!!!!!!
Msapere ebu leta zile pics za Kisii zitie Mwanza adabu.haya nyingine hizi hapaView attachment 869263View attachment 869264