Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa minajiri ya kuendeleza ubishani ili siku ipite sawa ila kwa reality miji ya Kenya iko poa hasa inanikosha planning na mazingira.
Laiti kama tzn ingezingatia mipango miji na mpangilio mzuri wa makazi miji ya Dar,Arusha,Mwanza na Mbeya ingependeza sana kuliko hiyo miji ya kikenya coz ina mandhari tamu but unfortunately utasikia humu jukwaani wadau wa bongo wanajifariji eti ni unplanned settlement sio slums.

Ahaaa haaa haaa
unless you are not a general planning scheme (GPS) professional, there is a big difference between UNPLANNED SETTLEMENTS and slums. compare makongo juu Dar and kibera Nairobi.
this is
 
pole sana tuusan. nimeguswa sana na hiyo taarifa. asante kwa kutushirikisha.

nitoe wito kwa rafiki/watani zetu wakenya kwenye jukwaa hili,mwisho wa siku sisi ni binaadamu tu. tunapitia nyakati za furaha na nyakati za majonzi.

hivyo basi msisite kutushirikisha kwenye taarifa za majonzi. sio kila siku kupost flyovers, highways na magorofa ya CBD.
Acha tu kaka hii habari kwakweli imeniumiza sana!!
 
Wadau samahanini sijui kama ni mbaya mtu kueleza jambo lake. ...
Kuna rafiki yangu kafariki leo ajali ya bodaboda...nlimaliza had chuo miaka michache tu iliopia,nmeumia sana!!tuishi kwa amani mazee
pole bro
 
Watz tuache kutia aibu yaani tu fly over 2 ndo kelele jukwaa zima afadhali hata tungekuwa karibu ku catch up na wakenya no wonder hatukujifunza kwa aibu ya kusherehekea lift
Tuna kaz kubwa ya kufanya kuhakikisha tunajenga miji yenye mandhari ya kuvutia na planned kama miji ya kenya.Mda wakati wa kuivimbia Kenya bado sana tena sana kelele za kijinga zipungue




tell your fellow tanzanians......huwa nawacheka tu polepole.......lol..........
 
Tell dem. hakuna haja tujidanganye hpa





hii data pia watapinga....hahaha..............Kenya ndio nchi hii east africa wengine ni others.......south africa and nigeria only beat us coz of gold platinum and oil......otherwise............Kenyans are the most hardworking Africans by nature
 
Nmesoma iyo makala vizur muandishi ni mkenya,BTW Nairobi wameinvest ksh5.4 trillion while Dar is ksh2.5trillion followed by Kampala ksh1.6trillion and Mombasa ksh 800billions...hii nazungumzia east Africa. ..
Katika ranks kama izo hua binafsi hazinishtui sababu similiki hata jengo la floor 5 kusema na mm nmechangia iyo list kuwepo...napata waswas kwa ndezi kama wewe unaefanya sherehe kabisa na pesa za wanaume wengine
...wake up buddy Nbo bado sana kusema mko mahali hata Durban ipo mnatuma video na picha hapa lakin bado mko down sana tu

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app






lol......gap ya 2.9 trillion kwako ni kidogo.........pwahahahahaha..............unasingizia durban kitu gani ila mnajaribu kushindana na the mighty Nairobi..........without planned estates,superhighways,thinktanks and proper civilized human population mtabakia kuja kenya kuomba omba kwenye streets zetu
 
NCHI ya amani ila umaskini ni ya kustajabisha....................kwanza tanzanians live in some ujamaa villages with poverty equally distributed across the whole country
 
Back
Top Bottom