Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

siku chache zilizopita nili-post kuhusu matatu za nairobi na kikundi cha watu walionyuma ya biashara hiyo ambao wanaogopwa sana na traffic wa kenya na hata abiria.


hapa chini kuna habari kuwa eti matatu(daladala) imeingia katika msako wa kukimbizana na polisi baada ya kuigonga gari ya polisi.licha kosa hilo, matatu hiyo haikusimama. ikaendelea na safari zake. hii ni jeuri iliyopitiliza.
View attachment 861790
hapa dar ni nadra sana upuuzi kama huu kutokea,kwa sababu daladala zinafahamika sana.kama itagonga gari la mtu mwingine lazima itasimama ili traffic aje atathimin ajari.na kama itaendelea na safari, hilo litakuwa ni kosa lingine kubwa kwa dereva na gari.

halafu soma comments za baadhi ya wakenya waliostaarabika wanavyokosoa utamaduni wa matatu.
View attachment 861791

Niliiona jana hii,nikasema kweli hawa watu ni vichaa,na wanadai wamestaarabika ,sijui kustaarabika ni aje kwao!!!!!

Unajua kupitia hili tukio utagundua jinsi walivyo hawako serios katika mambo,gari zinafanya mzaha na watu ndani mpaka zinagonga gari ya polisi,halafu kwa utani huu utegemee alshabaab,wapate tabu kuwasumbua!!!mara GSU kapombeka mpaka kazima road.

Ingekuwa tz dereva angekuwa boda anavuka kuhama nchi.
 
Haha so what?.Tanzania doesnt even have media freeedom....you are colinised by jiwe magufuli...online restricted...CCM is like a religion...Fool..gain internal independence first...

What do you know about media freedom???
 
Haha so what?.Tanzania doesnt even have media freeedom....you are colinised by jiwe magufuli...online restricted...CCM is like a religion...Fool..gain internal independence first...
Don't derail the topic, you do worship wazungu and their language, that is the fact. On the issue of democracy, Tanzania is far ahead of Kenya in every aspect,
TZ tops region in democracy index
 
What do you know about media freedom???
People think that if you are a journalist you can talk any shit you want, katiba yetu inasema kila MTU anayo haki ya kuheshimiwa na kuthaminiwa utu wake,
Insulting anyone is not allowed in Tanzania. Tanzania we used not to follow laws and rules in other words we used to break so many laws. When magufuli came into power he did not create any new law, but he is just making sure we follow what is present in our laws, any freedom have got a limit, have you ever seen uk media publishing that the queen is stupid?
 
IMG_1536567769.509712.jpg
 
midaa hii wakenya wako mjalala ya kibera wakiokota lunch zao wale wakishiba wanakuja kuongea kingereza chao kuhusu SGR yao na magorofa 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
U just havent you couldnt have hesitated to send a pic of passport like u always send screen shots of cheap Xiaomi phone specifications.
tafiti zinaonyesha kenya ina number kubwa ya vijana wasio na ajira.

nipo job saa hii najenga taifa langu. porojo za passport tutapiga jioni nikiwa kwa pub.

btw this is me.hapa kazi tu.

IMG_20180910_125202.jpg
 
siku chache zilizopita nili-post kuhusu matatu za nairobi na kikundi cha watu walionyuma ya biashara hiyo ambao wanaogopwa sana na traffic wa kenya na hata abiria.


hapa chini kuna habari kuwa eti matatu(daladala) imeingia katika msako wa kukimbizana na polisi baada ya kuigonga gari ya polisi.licha kosa hilo, matatu hiyo haikusimama. ikaendelea na safari zake. hii ni jeuri iliyopitiliza.
View attachment 861790
hapa dar ni nadra sana upuuzi kama huu kutokea,kwa sababu daladala zinafahamika sana.kama itagonga gari la mtu mwingine lazima itasimama ili traffic aje atathimin ajari.na kama itaendelea na safari, hilo litakuwa ni kosa lingine kubwa kwa dereva na gari.

halafu soma comments za baadhi ya wakenya waliostaarabika wanavyokosoa utamaduni wa matatu.
View attachment 861791
We kwani Tz hamnanga shugli? Yani unafwatilia domestic news za kenya hadi kwa comments! No wonder mko LDC, you guys like day dreaming about kenya as if mko kenya yet you don't even know about your country.
 
YOU Have never set foot on Kenya...Dont fool us with your online knowledge
Hujui hio ndio dream ya every kenyan neighbor! Hawa wasee hutamani sana kukanyaga kenya no wonder huwezi kosa Tanzanians waganda na somalis kenya. Wengine kwanza wakifika Nai au Mombasa nikama wamefika L.A
 
mtu mjinga anayepanda so called matatu, hayo kwanza yalikuwa ni magari ya mizigo kisha wakayafanyia modifications kuwa public buses,hii inaonesha ni jinsi gani your security systems are shits!
yaani kudadeki matatu imegonga gari ya polisi then haikusimama ikasepa!!!..haiwezi kutokea bongo hiyo!!
That's why tukisema Tanzania sio kenya unafaa kuelewa. This is not even the first time hii imetikea, its just a matter of kushika plate then the owner of the sacco is charged alafu stori inaishia hapo. There over a thousand saccos in kenya some are discipline zingine ni shida tu.
 
Back
Top Bottom