Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania ina viwanja vya ndege vingi kuliko Kenya.

Kwenye reli, tuna mtandao mkubwa sana (km) na pia tunazo za aina nyingi kuliko wao (meter, cape na std).

Azimio la Arusha halina tatizo, lilihitajika katika kujenga utamaduni na umoja wa nchi yetu.
spot the difference!..and get back to me!
spot the difference.PNG
spot the difference.2.PNG

no comments!
 
tanzania hatuna kabila la wakamba but hawa wakamba wa wanaoishi jirani na mpaka wa holili, wilaya ya rombo wanataka kutambulika kama watz. hawataki watambulike kama wakenya.

nadhani wameona faida ya kutambulika kama mtz badala ya mkenya. ukenya ni laana.
IMG_20180908_185112.jpg
 
Back
Top Bottom