Westie![]()
westie
![]()
Tulia buda unawatia Watu ugonjwa wa moyo...Jakaya Kikwete Heart hospital ishapata wateja si baba.
Eiiiish! Geza Ulole yuko ICU anapumulia mashine ...adungwe morphine hadi arudi hapa, battle imekuwa moto kama pasi.Nairobae
![]()
Haha you are very poor my friend...Do you need us to prove our wealth?..Utajidharau
does a phone define wealth?..send your bank statementsTuliitisha hapa hata battle sa simu,mkakimbia.
Ni kazi kiasi gani mtu na utajiri kumiliki simu ya maana??saa hii unaandaka nini hapa??
![]()
![]()
![]()
![]()
One thing I know about mtu anajichocha ni ye ndio maskini wa mwisho, aty kwa pub na kumbe uko kwa gate ya muindi churai.
Haha you are very poor my friend...Do you need us to prove our wealth?..Utajidharau
akutumie bank statement wewe kwani wewe ni mpango wa kando wake.does a phone define wealth?..send your bank statements



does a phone define wealth?..send your bank statements
naona monkeys wameshashiba chakula cha kuokoteza jalalani ...sasa wanaongea kingereza ku digest chakula






Hacha tabia yakuiba picha za watu😂😂😂😂👇👇👇 Wewe nenda kapate mlo wako hapo dump site😂😂😂
View attachment 862375
View attachment 862376
nilihaidi kwamba ikifika mida ya jioni nitakuwa free kwa porojo nikiwa nimechil kwa pub.
so nimeshatoka job and here i'm guys....nakaribisha maswali au hoja yoyote kuhusu mimi kufika kenya, kumiliki passport na kadhalika.
hao vilaza wawili hapo juu hawaamini kama nimefika kenya, hawaamini kama mimi ni mwenyeji sana wa mitaa ya nairobi,hawaamini kama nimezunguka county nyingi za kenya mpaka ushago kwao nimefika.