Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uganda wamechezea wabaya ona sasa Matiangi anawaonesha kenya si Bobi wine, Full force Kenya police wamemwagika migingo Operation fukuza Uganda Kenya. Watajua hawajui roundi hii.
FB_IMG_15363769593954287.jpg
FB_IMG_15363769523479253.jpg
FB_IMG_15363769645556062.jpg
 
Not just Kenya but the whole of Africa is about to be colonized. Siku China itaanza kutuma Majeshi yake Africa kuchukua Land zetu kama compensation ndio mtajua kweli tumechezwa.
*The only thing that can save us ni kujiunga kama nchi la Africa and forming one Deadly milliary & economy hapo tutakuwa tumewaweza. Just imagine United States of Africa!(USA) GDP: 3.8 trillion
Population:1.216 billion
Military: 3rd strongest military
with over 500,000 tanks
100,000 fighter Jets &
the Largest troop in the
World!
*Siku Africa itajiunga kama nchi ndio tutawezana na hawa wazungu na Wachina.
 
Naona mko juu yetu na Nigeria inaongoza. Si uwongo that extream poverty exists in Kenya but the difference comes when you compare it to the majority level. Most Kenyans are Middle class & such type of poverty can only be found in the semi desert areas and refugee camps.

Sent using Jamii Forums mobile app
huelewi! ukweli ni kwamba uchumi wa kenya umeshikiliwa na watu wachache sana. EUROPEANS, US na familia chache zinazotawala Kenya tangu uhuru, hamna kisichojulikana kuhusi GDP fake mnayodanganywa nayo, unadhani US, UK etc wana millitay base Kenya za kazi gani? fikiria!
 
jamaa haoni Tanzania na big fertile land its shameful to be ranked poorer than Kenya and even Uganda!., Kenya is productive only a quarter., we were worse according to 2012 report, tuna improve. Nashangaa pia the report on African countries, South Africa wako top ten!! sielewi, wao na Tanzania have good land and fertile than Kenya!!! Tanzanian kuweka hii report hapa nikujipiga risasi mguu. Nchi ovyo, shida ni raiya pekee., nchi imebarikiwa raiya wanaishi chini ya laana, uzuri wa nchi hawaoni ama haiwasaidii!!
hujielewi, nenda katafute ni sekta gani Kenya inayochangia zaidi uchumi wa kenya na pia utafute ni sekta gani inayochangia zaidi uchumi wa Tanzania, kwa miaka mingi uchumi wa Tanzania ulikuwa unategemea kilimo, that means, watanzania wasipolima nchi haina hela!
 
Lamba Lila Lolo mtuyangu get lost sijakuuliza utoe complements za kifala hapa. Ama ni ju nimesema ukweli, Ju nikama Nyerere was the 1st & the last educated Tanzanian the rest think like Magots, ka wewe sasa.
Tatizo ni huna expo unapost ujinga,siku ukienda south africa ,Soweto kwenye nyumba ya nelson mandela utakuta vitu ambavyo alikuwa akivitumia,kwa mfano kiti alichokuwa akikalia,kwa akili zako utasema Mandela ndio alikuwa wa kwanza kukalia kiti Africa kusini,
Sometime it's better to relate your brain when you want to post!
 
Tatizo ni huna expo unapost ujinga,siku ukienda south africa ,Soweto kwenye nyumba ya nelson mandela utakuta vitu ambavyo alikuwa akivitumia,kwa mfano kiti alichokuwa akikalia,kwa akili zako utasema Mandela ndio alikuwa wa kwanza kukalia kiti Africa kusini,
Sometime it's better to relate your brain when you want to post!

Achana na huyo mtoto.
 
Tatizo ni huna expo unapost ujinga,siku ukienda south africa ,Soweto kwenye nyumba ya nelson mandela utakuta vitu ambavyo alikuwa akivitumia,kwa mfano kiti alichokuwa akikalia,kwa akili zako utasema Mandela ndio alikuwa wa kwanza kukalia kiti Africa kusini,
Sometime it's better to relate your brain when you want to post!
Si umecatch mafeelings buda mind you I am very aware of all freedom fighters and African icons experienced and their Eulogies, but! frankly speaking, I was just relating the same to, "no offense" how thick headed you guys are!
Why can't you guys just emulate these valuable morals and stick to them.
 
Wewe Bangi inakupeleka pabaya. Migingo hakuna sehemu chopper inaweza kutua. IQ yako niya 1/4
You know what always seems to amaze me about Tanzanians is their mode of thinking, they think they know everything to do with kenya yet these guys know zero.
#Mulisaaa ushawahi kaa chini ukafikiria kusoma whatever the hell you post? I you happen to do so then you'll realize you make no sense at all. But due to my sympathies for you, wacha nikuchanue kiasi.

*Kenya is divided into 47 counties.
*Migingo Island is located in Siaya county.
*Siaya county is mostly main land.
*Government personnel travel through air in remote areas(siaya) during emergencies in Kenya.

Tafakari hayo.
 
Sawa ila ukitaka mziki udumu lazima nchi husika uwe na radha yake mfano mexican nadhani nyimbo zao tunazijua,marekani & British mziki wao tunaujua,Indian radha za mziki wao zinajulikana,south Africa kwaito nadhani tunaju,Tanzania bongo flavour,Nigeria mziki wao nao wamebunu midundo yao ....



Kenya???????
Sisi Kazi ni kuwachapa kila kitu hata the tallest building East and Central Africa iko hapa Kenya. Hahahaha hapa huwezi kataa.
 
Back
Top Bottom