kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
hahahaha....hatari sana.4m si kama watu wote wanaoishi Nairobi?
hahahaha....hatari sana.4m si kama watu wote wanaoishi Nairobi?
Hahaha... I can imagine.. usijali, I believe one day you will.. and I also believe one day the EAC partner states will truly be united in all aspects and give the world a run for their money!lols.... i try my brother.... at least in writing. you wouldn't understand me when you hear me talk.
Nimefuatilia nimeona kumbe ata national broadcaster wao ZNBC tayari ameshakuliwa na mchina! Hii ni aibu sana. Incase jirani waki default Mombasa port will be up for grabs
mchina angekuwa mkoloni nadhani hakuna nchi ingekuwa huru. Juzi aliwaita maraisi wa africa kuwaingiza mkenge. Anyway tunaomba Kenya wapunguze kukopa kopa wawe wapole, tena waangalie zaidi matatizo ya kijamii kuliko miundo mbinu, Mombasa ikichukuliwa mjuwe nasi tumekwisha it will be like Timu ya Gormahia kucheza ligi ya ufaransa.Nimefuatilia nimeona kumbe ata national broadcaster wao ZNBC tayari ameshakuliwa na mchina! Hii ni aibu sana. Incase jirani waki default Mombasa port will be up for grabs
keep on saying that, you see it from far away, we see it every dayMwanza bado iko chini kabisa.
china ni mkoloni mpya anayekuja kwa kasi africa.Nimefuatilia nimeona kumbe ata national broadcaster wao ZNBC tayari ameshakuliwa na mchina! Hii ni aibu sana. Incase jirani waki default Mombasa port will be up for grabs
Yani wananchi hata hamuhusishwi mnajikuta mmeuzwa tu bila hata vurugu..china ni mkoloni mpya anayekuja kwa kasi africa.
mkoloni huyu hatumii mbinu ya devide and rule au ile ya kupandikiza civil war kama wanavyofanya wazungu kule congo ili wao waendelee kuchota madini. yeye anacheza na vifungu vya kisheria kwenye loan treaties.
yaani hawatumii nguvu. mkishindwa tu kulipa madeni yao wanakuja kiupole kukwambia basi kama vipi tupatie mbuga ya "masai mara yote iwe mali ya china".![]()
these chinese are very smart, ukipishana nao maeneo ya CBD unaweza kuwadharau.
! Jamaa siyo watu wazuri kabisaThis is like
anxiety and depression. yep.4m si kama watu wote wanaoishi Nairobi?