Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

your artistes including that love of yours called diamond cannot compose anything lyrically good that can be used in a musical. listen to these:

creativity is not all about the most views on youtube, maybe when you grow up you will understand.





takataka...
 
Sasa huyu unayemjibu kwa juhudi hivi unajua hata hajui kuna sehemu inaitwa tabora,achana na picha za isevya.
Tabora ni Mkoa mojawapo wa Tanzania uliopakana na Mbeya, Kigoma, Shinyanga, Singida.
Napajua vizuri tu.
 
hahahaha, haya kaka, nishaachana nae
mwenzio alikuwa anakuchora mda wote....yaani mkenya akipata mtz anayezungumzia shida za tz huwa anafurahi sana.
pole sana comrade.

ila naomba ujiongeza kidogo kufatilia umasikini wa wakenya kwenye county zao, achana na magorofa au flyovers za nairobi.
 
meanwhile, phase 2A
View attachment 859120
Dgxv3eAW0AIWudn.jpg:large

Dgw5r_iWkAAMBty.jpg:large


Df_BeAdW0AAlZD6.jpg

Df_Bd8-WsAAhxcu.jpg
Wachina watupu jamani,wakenya mpo wapi,
 
mwenzio alikuwa anakuchora mda wote....yaani mkenya akipata mtz anayezungumzia shida za tz huwa anafurahi sana.
pole sana comrade.

ila naomba ujiongeza kidogo kufatilia umasikini wa wakenya kwenye county zao, achana na magorofa au flyovers za nairobi.
du sijaangalia huko, kwani kwao hujafika, nenda kakamega huko sijui busia na bungoma hakuna mabadiliko yoyote, sana sana mombasa, nairobi, na kidogo kisumu, nilishafika kwao na huwa ninaenda napafahamu vizuri tu, asione na kwao hatupajui
 
mwenzio alikuwa anakuchora mda wote....yaani mkenya akipata mtz anayezungumzia shida za tz huwa anafurahi sana.
pole sana comrade.

ila naomba ujiongeza kidogo kufatilia umasikini wa wakenya kwenye county zao, achana na magorofa au flyovers za nairobi.
hakuna cha kumchora. Wakenya wengi hawaijui Tanzania isipokuwa Daimond na Ali Kiiba. sasa shida iko wapi ninapotaka kuijua Tanzania kwa undani zaidi maana wengi wenu mliopo hapa kwenye hii 'bato', muko kiushindani zaidi. munaweza hata toa mapanga mda wowote au kuwaita watanzania watakao iongelea Kenya vizuri kwa majina ya ajabu ajabu.
 
hakuna cha kumchora. Wakenya wengi hawaijui Tanzania isipokuwa Daimond na Ali Kiiba. sasa shida iko wapi ninapotaka kuijua Tanzania kwa undani zaidi maana wengi wenu mliopo hapa kwenye hii 'bato', muko kiushindani zaidi. munaweza hata toa mapanga mda wowote au kuwaita watanzania watakao iongelea Kenya vizuri kwa majina ya ajabu ajabu.
tayari ameshakushtukia...
 
du sijaangalia huko, kwani kwao hujafika, nenda kakamega huko sijui busia na bungoma hakuna mabadiliko yoyote, sana sana mombasa, nairobi, na kidogo kisumu, nilishafika kwao na huwa ninaenda napafahamu vizuri tu, asione na kwao hatupajui


hakuna cha kumchora. Wakenya wengi hawaijui Tanzania isipokuwa Daimond na Ali Kiiba.
 
Back
Top Bottom