Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tuko tunabishana na tu humu,ila maisha ya kila mmoja ni sili yake.kwa asili watz hatupendi kelele.
haipendezi unakuja kunadi nyumba za nairobi na magari mazuri kumbe unazungumzia mali za watu,hata pesa ya matumizi ya kawaida ni tatizo kwako.

hiyo tecno ya dollar 900 haiwezi kununuliwa kwa bei hiyo mtu akiacha iphone 8 au s8.
A tuonyeshe hiyo techno.
 
Post hyo screenshot ya "iphone" yako tuione..usiabike kaka..your identity is cognito hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂👇👇👇👇
A739F0EE-093D-4ED5-A3E1-29DC51AB2374.png
 
emoji23.png
emoji23.png
dude your disillusioned..who told you everyone likes an iphone..ama samsung za kwenyu use iphone operating system...an iphone is not a status quo...ama hyo simu yako ya itel use IOS

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuonyeshe simu unatumia kwa screen shot.😂😂😂 Hapa niko na three smart phones pamoja na smart watch.😂😂😂
20180827_212130.jpg

Post hyo screenshot ya "iphone" yako tuione..usiabike kaka..your identity is c
 
Back
Top Bottom