😂😂😂 Hawa jamaa sio level yetu😂😂😂POVU.
😂😂😂 Hawa jamaa sio level yetu😂😂😂POVU.
Tuonyeshe simu unatumia kwa screen shot.Hapa niko na three smart phones pamoja na smart watch.
View attachment 848748
buda nilishatuma kitambo...kwani uko kwa kichaka nin??Jamaa wa kibera hana time ya kuwa jf online debating with a danganyika..hao ni watu wanahustle.wanakazana...life ni tafash budaTunaomba kuona simu unayo tumia
Tunaweza kuwa tunabishana na mtu wa Kibera
![]()
Hawa jamaa sio level yetu
![]()
. Sasa tunajua nani anaishi maisha na nani anasurvive maisha. 



.
hatutaki mchezo Dar ni noma
ldc wanawaonyesha maajabu Middle income.hivi ni kweli nawewe bro huna simu ya maana???sema kama wamekuibia,mimi siamini.enyewe level ya ldc tumewaachia..............hatuko hiyo level
ldc wanawaonyesha maajabu Middle income.hivi ni kweli nawewe bro huna simu ya maana???sema kama wamekuibia,mimi siamini.
ni nini mmetushindia pasi na kuwa ldc...lolhii vita nayo mshindwe!!!hata simu nzuri tuwachape!!
askari shupavu wa kenya akiwa katika harakati za kukabili wakora.![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 848111View attachment 848113
Kenya security ni zeroooo
asante kwa kuja
DAR CITY best city in Africa nadunia kwa ujumla
huyo naye ni punganilikuwa nakuheshimu sana buda, ila tangu jana nimeaanza kupata mashaka kuhusu wewe.
statistics tumegundua kuna uhuni wa kujichorea,kwani umesahau wakenya mill 40 wanatumia internet,yaani ni mill 7 tu ndio hawatumii.leta statistics ya internet usage in east africa.......tuanzie hapo.