Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,296
- 3,648
saa hii unaona kilio.mbona kilio? 😀😀😀
C.c Annael, Jichoboy, evart, lwiva, Losermatic, kifusi boyNilichokinote ni kuwa si kwamba mji kuwa umeendelea ni lazima uwe karibu na bandarini au na bahari au usiwe umefungamana na mji mwingine
Nairobi haina bandar ipo kenya huko bara kabisa na sio pwani au ukandA wa bahari km dsm ila nairobi still imesonga mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
This guy is just an honest Tanzanian and the fact that he can ask for a job online without fear of how people will think about him tells everything. Meanwhile you continue lying about the obvious ati 2% unemployment and some utopia.
huku nao hawana kazi,bro kuwa serios.basi kama yeye ni honest msaidieni kupata kazi huko kenya maana tayari yeye anaamini tz iko chini japo hakufafanua chini kuhusu nini.
punguza hasira baada ya kuikana dar mbele ya kadamnasi na kushikwa peupe 😀😀😀saa hii unaona kilio.
wewe huwezi nishika mimi,huyu shoga ni wenu tena anishi mombasa,sasa sijajua atakuwa ni nani kati yenu wewe,mwaswat,anord,and the like,yaani mmenasa mapema sana huu mtego.punguza hasira baada ya kuikana dar mbele ya kadamnasi na kushikwa peupe 😀😀😀
hasira hasara
watazania mkazue mioyo yenu migumu msalimu amri tu kuwa Nai ndio kusema.....hahaha.mnatumia nguvu nyingi sana ila uwezo wenu dhaifu mnoSure.
huoni unatumia nguvu na muda mwingi sana kupinga hilo!!!!kwanini usipuuze kama ni kweli!!!watazania mkazue mioyo yenu migumu msalimu amri tu kuwa Nai ndio kusema.....hahaha.mnatumia nguvu nyingi sana ila uwezo wenu dhaifu mno
shirika bora la ndege barani Africa linalomiliki ndege zake kwa kununua by cash
anatia haibu huyo wakukaja... ....watu wa mbeya hawakuwagi hivyo huwa niwapambanaji nawasiwasi atakua ni mzamiaji huyo kutoka zambiachini ya wapi?... ya mnazi?.
wewe binafsi ndio upo chini, sio tanzania. thread yako uliyoianzisha tarehe 30/ 01/2018 inajieleza dhahiri shairi.
View attachment 846282
wasalimie watu wa mbeya.

kabisa hajielewi huyoKwisha habari. 😀😀😀
duuhhio sio taxi my friend kwao ni means of private transport lakini kisumu ni means of public transport🤗🤗🤗
ukweli hautabadilika
View attachment 846386View attachment 846387View attachment 846388View attachment 846389View attachment 846390View attachment 846391View attachment 846392

wape makavuNimekuja Nairobi Mara nyingi sana, Kitu pekee naweza sema ni Kuwa kwenye public Transport Kenya mna mengi ya Kujifunza kwetu, that matati culture ni utamaduni wa kihuni kabisa tena ukileta hapa Tz utakosa watu, nimewahi panda kigari kimoja toka pale Eastleigh hadi hapa Oracle kwenye magorofa yanayojengwa na wachina, kwakweli is the worst, hata mikoani Tz kuna mifumo mizuri ya Public Transport kuliko Nairobi.
Halafu yote ni magari ya Kizamani yameandikwa sijui Saco,
Yanaweka mizigo juu eti, huku Tz huo utamaduni haupo.
Halafu zile wamepimp huwa naziona tu mkituma picha humu but mitaani nairobi mbona hazipo?
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa tutaachaWananchi wanakaa tu LDC.
HII tabia ya kuvaa mavazi za 20th century mwache.

karibu sana mkuu.....bado tunapambana na Dar yetu Ila sisi binafsi bado tunataka kuiboresha zaidi darwakuu nipo dar saa hii, dar imekuwa kwa kasi hatuwezi linganisha na nai yetu tena #hongereni bongolala mmetufunza kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
una utoto mwingi....haujakuahahaha nipo kwenye 2 bedroom..na kama hujajua Nairobi hio ni achievement...rent humu sio kama kununua peremende..this is a very important city....kisha naja tu humo kwenye 3 bedroom pia......cha muhimu, ujana....ila najua ujana ni moshi
...au sio lijizee? kuna swali nimetaka nikuulize mda mrefu, hivi dinosaur uliziona wakati ulipokua mchanga?![]()
![]()
![]()
![]()
sipotezi mda na chokoraa kama wewe unayetumia uwezo mdogo wakutranslate...certains d'entre nous ne sont pas allés à l'école pour apprendre le français, merci de vous en tenir à l'anglais.

inside of you're airport ni kwa hovyo sanalet me crown it up with the magnificent JKIA..the darling of the massesView attachment 846560View attachment 846561View attachment 846562View attachment 846563View attachment 846564View attachment 846565View attachment 846566View attachment 846567
stress zinakufanya upagaweNmenotice hawa maAdmin wanavuta messages kama hiyo ya huyo msee...
Ukisifia Nairobi na wewe ni mtanzania message yako inavutwa.