Week iliyopita nilikua Nairobi kenya na kilichonipeleka ni business deal
Unajua nairobi kuna bidhaa nyingi mno na first class kushinda hata dar
Pamoja na hilo nilitumia siku moja kufanya manunuzi yangu ya kibiashara pamoja na madeals kadhaa ya biashara nilifanikisha
Nikapata siku mbili za kula bata na kutembea hii ni mara yangu ya kwanza kuwa nairobi but sio first time kuwa kenya nimewahi tembea sehemu nyingine za kenya mara nyingi tyu
Nije kwenye point kiukweli nairobi ndo jiji bora kabisa east africa jiji linavutia mnooo halafu vitu vingi na vitega uchumi vingi vipo nairobi na nairobi ina
"watu wako na pesa mingi "
Dar tuna ya kujifunza kutoka nairobi.Jamani Msije mkasema nimeifavour nairobi kisa nimeenda noo nimetembea pia miji mingine hapa east africa mfano nilishaenda kigali ni jiji lenye mvuto ila the best ni nairobi
Sent using
Jamii Forums mobile app