Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

chini ya wapi?... ya mnazi?.

wewe binafsi ndio upo chini, sio tanzania. thread yako uliyoianzisha tarehe 30/ 01/2018 inajieleza dhahiri shairi.
View attachment 846282
wasalimie watu wa mbeya.

This guy is just an honest Tanzanian and the fact that he can ask for a job online without fear of how people will think about him tells everything. Meanwhile you continue lying about the obvious ati 2% unemployment and some utopia.
 
ata hawa wako hapa pia wanajua ukweli lakini wanajifanya vichwa maji. nimeshangaa sana hata kumwona mkorinto akiikana dar mbele ya umati
ila ukitaka kumshika mkenya ni rahisi sana,nilijua tu yule ni member huku katika hii battle,ila kaja na chupi nyingine beach tofauti.😀😀,nikataka niprove,na ni kweli katoka huku.
 
This guy is just an honest Tanzanian and the fact that he can ask for a job online without fear of how people will think about him tells everything. Meanwhile you continue lying about the obvious ati 2% unemployment and some utopia.
kwani ikiwa 2% inakosa watu wa kupost mitandaoni,wewe jamaa vipi aise!!!
 
sina hasira.mkenya hawezi kunikasirisha,zaidi ya kunisikitisha.
we sikitika tu ila ukweli wnzako wanatambua peupe...hakuna mji ulio kama Nairobi ukanda huu...hii hata dunia yote inatambua..ndio maana utaona headquarters za kampuni za nje karibia asilimia 99 zipo Nairobi...nyie mnabaki na akina Acacia ambao wamekuja tu kuwala kwa kunyakua rasilimali zenu wala sio eti wamevutiwa na chochote cha maana
 
we sikitika tu ila ukweli wnzako wanatambua peupe...hakuna mji ulio kama Nairobi ukanda huu...hii hata dunia yote inatambua..ndio maana utaona headquarters za kampuni zote zipo Nairobi
sasa wewe na wakenya wenzio endeleeni kufurahia HQ,nakukumbusha pia hata wazungu wengi wapo hapo.
 
sasa wewe na wakenya wenzio endeleeni kufurahia HQ,nakukumbusha pia hata wazungu wengi wapo hapo.
hahahaha...hq kuletwa mjini ina maana nyingi sana...ina maana wanavutiwa na jambo flani ambalo halipo kwenye miji mengine kama Darisalam, Kampala au Kigali...kama vile tu kuna sababu ya Joburg kuwa inavutia makampuni mbalimbali barani afrika
 
hahahaha...hq kuletwa mjini ina maana nyingi sana...ina maana wanavutiwa na jambo flani ambalo halipo kwenye miji mengine kama Darisalam, Kampala au Kigali...kama vile tu kuna sababu ya Joburg kuwa inavutia makampuni mbalimbali barani afrika
ila nimependa sana,the way mnaichukulia dar now,angalia kitu nimeandika kule bila kutafakali umeleta huku.hii ni kusema huamini.
 
Back
Top Bottom