Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na bado. Low density , High quality, High priced Tourist products. We are no longer an add on tourist destination. Kudos.
 
Hili ndio bao lakimataifa hehhe unbelievable year
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Watu wame struggle 50 yrs kutangaza utalii sisi miaka 10 tu watu wametoa mapovuuuuuuu ahhhhahahahhaha kikwete big up
Screenshot_2017-04-10-14-33-15.png
Screenshot_2017-04-10-14-33-26.png
Screenshot_2017-04-10-14-33-32.png
Screenshot_2017-04-10-14-33-45.png
Screenshot_2017-04-10-14-33-52.png
Screenshot_2017-04-10-14-33-59.png
Screenshot_2017-04-10-14-34-05.png
Screenshot_2017-04-10-14-34-11.png
Screenshot_2017-04-10-14-34-19.png
Screenshot_2017-04-10-14-34-26.png
Screenshot_2017-04-10-14-34-49.png
 
Miradi gani nje ya Nairobi....konza?
it's under Nairobi metro
Wewe usiyudangane hapa konza iko macahakos na sio nairobi mbona sisi hatuleti miradi ya ya mikoa mingine hehehehe 160 km from nairobi unasema nairobi hhhaahhahahahha
Screenshot_2017-04-10-14-43-34.png
 
Ha! 160KM !!!!!!! aliyeandika hio wikipedia alikosea...

Konza is approx 60Km from CBD
Hehhehehe wikipedia waongo enhhhhh
😀😀😀 kila siku munaonewa nyie hhahhhhahah
160 km unasema 60 hhahahhah unachakachua 100 nzima hahhahahahaha hatari sana
Screenshot_2017-04-10-15-22-35.png
 
Mombasa-Road -Nairobi (Roads, real eastate)

on the lower right there is Airtel Africa HQ and thats the Mombasaroad-southern bypass interchange
south2-1024x572.jpg

cropped-ab22457.jpg



Mombasa road
view2-1.jpg


8360degrees.jpg


encasa some new real easte
real-estat-Encasa-@-Mombasa-Road-brings2-830x350.jpg
real-estat-Encasa-@-Mombasa-Road-brings.jpg


Mombasa Road-Staffords.jpg
greenpark.jpg
 
Hehhehehe wikipedia waongo enhhhhh
😀😀😀 kila siku munaonewa nyie hhahhhhahah
160 km unasema 60 hhahahhah unachakachua 100 nzima hahhahahahaha hatari sanaView attachment 493758
Hii ndo maana ni vigumu sana kushindana na Mtanzania.... Mi mwenyeji nishakwambia, badala ukatafute source nyengine uhakikishe bado unarudi na screenshot ya wikipedia tena.... Sasa unataka tuchukue siku nzima tukishindana kutokana na hio info ya wikipedia ambayo tayari nimesema kakosea????
Mimi mwenyeji, wewe hata hujui Konza iko na wapi...... Nairobi mpaka nakuru ni 150KM huko ni mbali sana, Konza iko hapa hapa tu After Mombasa road kama unaenda Machakos, its not that far...

Anyway, Hii hapa kutoka kwa website ya Konza techno City website - Haya shindana na hio pia

upload_2017-4-11_15-43-35.png
 
Hii ndo maana ni vigumu sana kushindana na Mtanzania.... Mi mwenyeji nishakwambia, badala ukatafute source nyengine uhakikishe bado unarudi na screenshot ya wikipedia tena.... Sasa unataka tuchukue siku nzima tukishindana kutokana na hio info ya wikipedia ambayo tayari nimesema kakosea????
Mimi mwenyeji, wewe hata hujui Konza iko na wapi...... Nairobi mpaka nakuru ni 150KM huko ni mbali sana, Konza iko hapa hapa tu After Mombasa road kama unaenda Machakos, its not that far...

Anyway, Hii hapa kutoka kwa website ya Konza techno City website - Haya shindana na hio pia

View attachment 493767
Sasa ubishane na mm kwan mm ndio wikipedia hahhahahahhahah hujiamin au hahhahahhaha nairobi to machakos 160 km alaf unasema hapo tu hahahhahahha haya siongei mm anaongea wikipedia so bishana na wikipedia sasa 😀😀😀😀😀😀😀
 
Sasa ubishane na mm kwan mm ndio wikipedia hahhahahahhahah hujiamin au hahhahahhaha nairobi to machakos 160 km alaf unasema hapo tu hahahhahahha haya siongei mm anaongea wikipedia so bishana na wikipedia sasa 😀😀😀😀😀😀😀
Samahani, Nili reply bila kuangalia user. kumbe ni wewe mwendawazimu... haina haja uongee , tunajua type yenu
 
Kuna vitu 2
hapo
kwanza Ardh kenya inapandisha thamani ya Mradi

pili ni wizi na ufisadi
kitu cha 100m kenya ni 1000ml

mfano kuna mradi huu Dar
watu walitaka Kupiga pesa
eti 100bn tsh
Magu akaingilia kati
Umejegwa kwa 10bn tsh.
Kama ni kenya huu mradi ungekula 500bn tsh
c987e82157221d83bb719aeb64a17bb3.jpg
29c9ac0d1c77c9a5d2ed4165bf1527d4.jpg
bravo for a short and good analysis.
 
Back
Top Bottom