Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DAR ES SALAAM

a-densely-populated-community-crowded-around-dar-es-salaams-urban-EAX1H4.jpg
 
Sio kubishana niliwambia hata mtoto mdogo anaelewa hehehhehe unakua mwili tu sisi hatueki mnara kwasababuni ujanja wakishamba tupoteze pesa kueka mnara kwanini tusiongeze floors zisaidie uchumi hahahhahahha bongo imewanyima usingizi hahahhahha

hapo sasa. MUTAWEKA VIPI MINARA KWA VITU HAMUNA SASA. Kwanza mutaanzaje??? kuweni nazo kwanza ndio muje tuongee. kwa sasa Towers mbili hizo ni vitu za kuhesabika. Nairobi utakosa hesabu maana ni nyingi kupindukia. Duh!
 
case closed!!! umekubali kuwa mnara unaeza tolewa na ukarudishwa. halafu sielewi tulifika vipi kwa miraa na mugabe. rudi kwenye line
Closed ya nin kama mnara unaongeza floors basi wewe ndio mjanja hahahahhhahaa 😀😀😀😀😀😀😀
 
hapo sasa. MUTAWEKA VIPI MINARA KWA VITU HAMUNA SASA. Kwanza mutaanzaje??? kuweni nazo kwanza ndio muje tuongee. kwa sasa Towers mbili hizo ni vitu za kuhesabika. Nairobi utakosa hesabu maana ni nyingi kupindukia. Duh!
Mm nimekwambia hvi kma mnara unaongeza no of floors basi wewe ndio mjanja kwanzia leo hahhahaha😀😀😀😀😀😀😀
 
Mm nimekwambia hvi kma mnara unaongeza no of floors basi wewe ndio mjanja kwanzia leo hahhahaha😀😀😀😀😀😀😀
Yeah! Whatever. Booooringdotcom.
mnara hata haiwezi kuwa topic of any discussion. Dar is slum hawatajenga towers zozote maanake dunia nzima ni wajanja pamoja na waKenya blah blah blah Nonsense. panda juu uwende ukaikate uitafune
 
Yeah! Whatever. Booooringdotcom.
mnara hata haiwezi kuwa topic of any discussion. Dar is slum hawatajenga towers zozote maanake dunia nzima ni wajanja pamoja na waKenya blah blah blah Nonsense. panda juu uwende ukaikate uitafune
Mnara ni topic baba unakimbia wapi alikubali mwenzio saedique muulize hehhehe we unajifnya huelew hahhahaha nilikwambia kama mnara unaongeza floors basi wewe mjanja mark my words 😀😀😀😀😀😀😀 alafu ukichange mada ukija kwenye slums hebu cheki hapo hahahhahhaha hapa hutoki mbona
Umeona mziki huo na area iliozunguka mm nilikwambia nairobi sehemu iliojengeka haitoki zaidi ya 120 km sq iliobaki sasa ndio hio sasa 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
1200px-Nairobi_slums_area.svg.png
 
Tazama city center area na slums area alaf uje hapa 😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Ukifuatilia humu
jamaa wamechukua majengo yanayo jengwa Kila county ya kenya
kupambanisha na Dar pekee
kweli kabisa ile kuna miradi wameweka ipo nnje ya nairobi hawana akili hawa....ni wakuzamani kweli
 
Back
Top Bottom