COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
We hujuagi any unajua tu dar pekee
actually andika jina ya hilo jengo chini alafu likikamilika urudi uniambie kama ni less than 25floors.Nikukumbuke wewe mm nimeish na wakemya wengi nitatukukumbuka kwa lipi hutaki iwe 35 floors au hahhahahhhahaha mwaka huuuu
Ila majengo ya bongo yangekuwa yanawekewa misitima kama wakenya top ten majengo7 yangekuwa yanatoka bongo
Hehehhhehe hutaki sasa au hhahhhhahaahaWe hujuagi any unajua tu dar pekee
Naitafuta nimeisahau kidogo tulia usiwe na paraparaactually andika jina ya hilo jengo chini alafu likikamilika urudi uniambie kama ni less than 25floors.
Sisi hatuna ujanja wakishamba hapa ni actual heightIla majengo ya bongo yangekuwa yanawekewa misitima kama wakenya top ten majengo7 yangekuwa yanatoka bongo
height ya Burj Khalifa ni ngapi?Sisi hatuna ujanja wakishamba hapa ni actual height
Nmeona Mombasa ndio mnafaaana ni CBD pekee ndio mmechapa Mombasa bure vi2 mob inawachapaHehehhhehe hutaki sasa au hhahhhhahaaha
Burj Khalifa haina mstima weweeheight ya Burj Khalifa ni ngapi?
Huyu hajui burj khalifaBurj Khalifa haina mstima wewee
One word trade centre ndo inamstima
Na mnara ukitolewa je utasemaje????????height ya Burj Khalifa ni ngapi?
ata sio Cbd. ni Pta (parents teachers association) na Pspf yenye wamejenga 2yrs ago. izo zingine zote, barabara, maji, stima, surbabs, hotels, beaches, e.t.c wako down kama soxxy ya kiatu. niko nao wengi nakutana nao kila siku na hawakatai Mombasa iko mbeleNmeona Mombasa ndio mnafaaana ni CBD pekee ndio mmechapa Mombasa bure vi2 mob inawachapa
Mm nimekwambia chukua nairobi mombasa na kisumu pamoja bado hamutoboi kwa dar munaishia 1196 kmsq wakat dar 1590 km sq yani kwa namna yoyote hamutoboiNmeona Mombasa ndio mnafaaana ni CBD pekee ndio mmechapa Mombasa bure vi2 mob inawachapa
Simulikimbia buildings over 20 kawaulize wenzako hahhahahahaha bongo hakuna mchezo hahahahahahha unbelievable yearata sio Cbd. ni Pta (parents teachers association) na Pspf yenye wamejenga 2yrs ago. izo zingine zote, barabara, maji, stima, surbabs, hotels, beaches, e.t.c wako down kama soxxy ya kiatu. niko nao wengi nakutana nao kila siku na hawakatai Mombasa iko mbele
Kwenye hotels kakimbia mwenzio amekalia kuiba pic za bridge akajua hatuijui mombasa hahahhahahhahahaata sio Cbd. ni Pta (parents teachers association) na Pspf yenye wamejenga 2yrs ago. izo zingine zote, barabara, maji, stima, surbabs, hotels, beaches, e.t.c wako down kama soxxy ya kiatu. niko nao wengi nakutana nao kila siku na hawakatai Mombasa iko mbele
Burj Khalifa haina mstima wewee
One word trade centre ndo inamstima