Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Swali linakuja mnara ukitolewa itabaki same height mbona mambo yanataka aliki usifkiri uli mnara hauwez tolewa ile chuma tu au hujawah kuskia magorofa minara imetolewa
uko na kichaa. tangu lini mnara utolewe? Burj Khalifa iko na mnara zaidi 250m. kwa taarifa yako hakuna sheria inayozuia contractors kutojenga mnara. so that means you have not been restricted to. all top 10 skyscrapers worldwide ziko na minara. so kama yakukera, kapande juu uende ukazing'oe. na ni nani alikwambia jumba au hata kijumba hakifanyiwi marekebisho? kama waKenya ni wajanja, basi iko sawa na dunia nzim kwa ujanja wakati bongolala bado iko usingizini
 
your reasoning is too shallow. but i don't blame you. it's coz hamuna uzoefu wa Towers nchini kwenu. izo towers mbili ndani ya bongolala zimewaingia kwa kichwa
 
uko na kichaa. tangu lini mnara utolewe? Burj Khalifa iko na mnara zaidi 250m. kwa taarifa yako hakuna sheria inayozuia contractors kutojenga mnara. so that means you have not been restricted to. all top 10 skyscrapers worldwide ziko na minara. so kama yakukera, kapande juu uende ukazing'oe. na ni nani alikwambia jumba au hata kijumba hakifanyiwi marekebisho? kama waKenya ni wajanja, basi iko sawa na dunia nzim kwa ujanja wakati bongolala bado iko usingizini
Umekubari kuwa Mnara unaongeza urefu
huku umbo la jengo halisi ni hovyo
unadhani Jengo la 150m ukaweka mnara wa 100m hili nilakujivunia kweli!!

Unaenda kupima kilo
unakuta mtu kapima na kubia ana 50kg
wewe unaona 60kg

Ukijiangalia umepima umevaa viatu,Jins na umebeba begi!!
Mwenye akili hawezi shangiria upuuzi huo
 
kwa akili yako, kaa ukijua achitectural design ya nyumba haiwezi change. kama antenae ni 250m. itabaki hapo hapo. haipandi, haishuki. there is something we call Renovation. sasa wewe na akili yako punguani, dandia ndege angani uende ukaing'oe
 
binadamu na jengo ni vitu viwili tofauti. kama vipi, izo viTower vyenu viwili NI NANI ALIWAZUIA KUWEKA MINARA??? kama waKenya ni wajanja, basi wako sawa na dunia nzima kasoro bongolala. Amkeni
 
kwa akili yako, kaa ukijua achitectural design ya nyumba haiwezi change. kama antenae ni 250m. itabaki hapo hapo. haipandi, haishuki. there is something we call Renovation. sasa wewe na akili yako punguani, dandia ndege angani uende ukaing'oe

Ulipaswa kuandika yoote nasi kumtusi mtu Punguani
unako kwenda siko kabisa
 
uko na kichaa. tangu lini mnara utolewe? Burj Khalifa iko na mnara zaidi 250m. kwa taarifa yako hakuna sheria inayozuia contractors kutojenga mnara. so that means you have not been restricted to. all top 10 skyscrapers worldwide ziko na minara. so kama yakukera, kapande juu uende ukazing'oe. na ni nani alikwambia jumba au hata kijumba hakifanyiwi marekebisho? kama waKenya ni wajanja, basi iko sawa na dunia nzim kwa ujanja wakati bongolala bado iko usingizini
So mnara inaongeza floor na kwa taarifa yako mnara unaeza kutolewa na ukarudishwa we kumbe akili yako bado changa sana hhhahhahahahah ujanja upi wakupigia kofia kwenye urefu hahhahahaha....ujanja gni munao 😀😀😀😀😀😀 kuekeza 3 million dollar kwenye mirungi wakat soko limeyumba hahahahha ujanja wakuhamisha visivohamishika as Mugabe said hhahhahhaha hapa hatoki mtu unbelievable year😀😀😀😀😀
 
hahahaha.... kweli kubishana na mjinga ni tabu tupu. mtu hana experience ya towers na analeta kiherehere hapa na tuTowers tuwili tumejengwa last year. hapa Kenya Towers zilijengwa hata kabla wazazi wangu hawajazaliwa.
 
binadamu na jengo ni vitu viwili tofauti. kama vipi, izo viTower vyenu viwili NI NANI ALIWAZUIA KUWEKA MINARA??? kama waKenya ni wajanja, basi wako sawa na dunia nzima kasoro bongolala. Amkeni
So britam na mnara wake floors zimekua 45 sindio hahhahhaahahhha akili kichwani mwako😀😀😀😀😀😱😀😀
 
Hamidu city, residence. Avic town naona ni gated community.
Tatu is a real city, 2.5 billion usd. Konza city is like silicon valley, almost 6 billion usd. si some gated communities mnapots hapa. Deco eco ata Thika Golf is worth more at almost 700 million USD na ni estate
Nafikiri tunapoongelea miradi iliyopo ndani ya Nairobi City huwezi iweka Konza,,because its located in Machakos County almost 68 km from Nairobi
 
hahahaha.... kweli kubishana na mjinga ni tabu tupu. mtu hana experience ya towers na analeta kiherehere hapa na tuTowers tuwili tumejengwa last year. hapa Kenya Towers zilijengwa hata kabla wazazi wangu hawajazaliwa.
Sio kubishana niliwambia hata mtoto mdogo anaelewa hehehhehe unakua mwili tu sisi hatueki mnara kwasababuni ujanja wakishamba tupoteze pesa kueka mnara kwanini tusiongeze floors zisaidie uchumi hahahhahahha bongo imewanyima usingizi hahahhahha
 
Nafikiri tunapoongelea miradi iliyopo ndani ya Nairobi City huwezi iweka Konza,,because its located in Machakos County almost 68 km from Nairobi
Ahahhahaahha wakat ndani ya dar tu kuna mega projects zaidi ya 10 hahahhahhahahaa mm niliwaambia waingize mombasa na kisumu wakakataa hahahahahahahah na hata wakiingiza hakuna kitu Mombasa wala kisumu hhahhahahahahah
 
DAR ES SALAAM

aerial-view-of-dar-es-salaam-tanzania-AEAMNJ.jpg
 
So mnara inaongeza floor na kwa taarifa yako mnara unaeza kutolewa na ukarudishwa we kumbe akili yako bado changa sana hhhahhahahahah ujanja upi wakupigia kofia kwenye urefu hahhahahaha....ujanja gni munao 😀😀😀😀😀😀 kuekeza 3 million dollar kwenye mirungi wakat soko limeyumba hahahahha ujanja wakuhamisha visivohamishika as Mugabe said hhahhahhaha hapa hatoki mtu unbelievable year😀😀😀😀😀
case closed!!! umekubali kuwa mnara unaeza tolewa na ukarudishwa. halafu sielewi tulifika vipi kwa miraa na mugabe. rudi kwenye line
 
Back
Top Bottom