Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani bado nimewaruhusu kuingiza mombasa na kisumu munakua waoga tu hahhaahhahhahaha naona dar inawakosesha usingizi hahhaahhahahaahh
 
Kwenye hotels kakimbia mwenzio amekalia kuiba pic za bridge akajua hatuijui mombasa hahahhahahhahaha
Facts you need to know about hotels between Mombasa and Dar is slum are. Dar is slum has many hotels compared to Mombasa hotels.
Mombasa has more 5stars and 4stars hotels dwarfing Dar is slum hotels.
Mombasa hotels zinajaa na watalii kushinda hoteli za Dar is slum. kwa sababu gani? ni kwa sababu ya Advertisement kwa nchi za ulaya ambayo Dar is slum imezembea.

so wake up from your slumber Bongolalans
 
NAIROBI
C1UWw5bXAAAGhK_.jpg
C1UWw57XAAAl6Ig.jpg
C1UWw57XAAAl6Ig.jpg
CzS5jKTWgAAAQm5.jpg
Cy-JGuFWIAAABBY.jpg
CypI3lpVIAATlYe.jpg
CyRueLAWEAEFMy0.jpg
CyKIEnEXAAAAhHm.jpg
CyA1u9GUoAAR9Xp.jpg
CxhmX6PWQAEYzhe.jpg
 
Na mm ndio nakuuliza mnara ukitolewa height itabaki ileile tumia akili tu ndugu we unaeza pigia urefu wako na kofia hhehehheheeheh
That shows how shallow minded you are. Sijui ulienda shule kufanya nini. swali halijibiwi na swali. na wala pia hakuna sheria inayozuia mtu kuweka mnara juu ya mjengo. wekeni minara kwa izo mijengo zenu mbili basi. urefu wa jengo unahesabiwa kuanzia chini kabisa mpaka tip yake ya mwisho. sio top floor peke yake so you can never change Burj Khalifa's height with your shallow mind.
Advice: rudi shule.
 
So am I blind mm sioni au?????? Au sijui kuhesabu hahhahahahha 16 floors unasema 26 hhahhahhahahah daaaah aiseee hesabu vzr bro hahhahahahhaha hapa hutoki mbona
unabisha vitu vya wazi kweli...msa mtaiona paa this tym round..usisahau crest apartments pia na kizingo zote ziko 22 and above..msa alafu ulete ujinga wa mwanza
 
Facts you need to know about hotels between Mombasa and Dar is slum are. Dar is slum has many hotels compared to Mombasa hotels.
Mombasa has more 5stars and 4stars hotels dwarfing Dar is slum hotels.
Mombasa hotels zinajaa na watalii kushinda hoteli za Dar is slum. kwa sababu gani? ni kwa sababu ya Advertisement kwa nchi za ulaya ambayo Dar is slum imezembea.

so wake up from your slumber Bongolalans
Siumekimbia mwenyewe kwenye hotels ahahhahahah onganisha nairobi mombasa na kisumu kwenye hotels alaf uje hapa twende kazi mm nimekuruhusu hahhahahahahha wewe usijifanye Leo hujui slum zilipo hahahhahahah naona unalazmisha hata kama Hanna iwepo Hahahhahaha unbelievable year
 
That shows how shallow minded you are. Sijui ulienda shule kufanya nini. swali halijibiwi na swali. na wala pia hakuna sheria inayozuia mtu kuweka mnara juu ya mjengo. wekeni minara kwa izo mijengo zenu mbili basi. urefu wa jengo unahesabiwa kuanzia chini kabisa mpaka tip yake ya mwisho. sio top floor peke yake so you can never change Burj Khalifa's height with your shallow mind.
Advice: rudi shule.
Ilitolewa mnara height itabaki the same mbona hapo hutaki kuelewa nakujibu swali lako kupitia swali maana swali lako hata mtoto mdogo anakujibu hehehehhehehe mnara ikitolewa height itabaki the same hahhahahhahahaa hakuna ujanja hapa tunataka actual height baba
 
unabisha vitu vya wazi kweli...msa mtaiona paa this tym round..usisahau crest apartments pia na kizingo zote ziko 22 and above..msa alafu ulete ujinga wa mwanza
Wewe kma uko tayari twende mm sina shida hahahhaha mm nakwambia Mwanza itakutoa povu twende kazi alaf kisumu nikupe arusha uone kma kamasi hukutoa wewe hahahhahhahahha
 
unabisha vitu vya wazi kweli...msa mtaiona paa this tym round..usisahau crest apartments pia na kizingo zote ziko 22 and above..msa alafu ulete ujinga wa mwanza
Maneno ya nin sasa hahhahahaha kisumu nikupe arusha hebu jichagulie mwenye kisumu nikupe IPI zanzibar ,arusha, tanga au mbeya utachagua wewe nimekupa nafasi uchague hahahhaahaha😀😀😀😀😀😀 kote moto utachagua wewe sasa kazi kwako hahahahahaahahah
 
Back
Top Bottom