Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

zanzibar😂😂😂👇👇👇
D4D3C4AE-3E69-4393-84BC-282826940E01.jpeg
 
You don't need to qourt me when you post stuff.. Zanzibar is a country. Which part of the country do you want us to compare with mombasa? Nugwi ama kizimkazi....

Thou the gdp of Zanzibar is nothing.

Waiting for Dar resort's
 
haziko hapo, kama ndo ulitembea hapo tuu basi hujaimaliza Dar bado na si rahisi kuimaliza Dar kimasihara masihara

Hapo kwny picha ni CBD na Bandarini
wakenya wanafikiri dar ni kama nairobi tu ambayo ukiizunguka siku mbili tu ushaimaliza!!
 
You don't need to qourt me when you post stuff.. Zanzibar is a country. Which part of the country do you want us to compare with mombasa? Nugwi ama kizimkazi....

Thou the gdp of Zanzibar is nothing.

Waiting for Dar resort's
hvi wewe akili yako iko sawa hebu nitajie visiwa viwili vinavounganisha zanzibar😂😂😂😂 ukipata nungwi na kizimkazi nitag👆👆👆 ujuaji ukizidi mwishowe hua mjinga

narudia kukwambia hakuna sehemu yoyote east and central africa inaeza kaa meza moja na zanzibar kwenye hotels na kama yupo anaebisha mm nipo tayar twende kazi😝😝
 
You don't need to qourt me when you post stuff.. Zanzibar is a country. Which part of the country do you want us to compare with mombasa? Nugwi ama kizimkazi....

Thou the gdp of Zanzibar is nothing.

Waiting for Dar resort's
hahah zanzibar umeiogopa 😂😂😂 👆👆
naona thread imebadilika kua dar vs nairobi + msa👆👆👆😝😝😝
 
bora tu kumuhamisha maana sio kwa ujinga huo ambao angeambukizwa huko.
hongera.
kwa hiyo hao watoto ni wajinga kwa sababu hawakuweza kuhesabu 1-100 kwa kiingereza???
sasa naomba Nikuulize swali bwana lewis,nani mjinga zaidi...??? kati ya hao watoto walioshindwa kuhesabu kiingereza na wewe mtu mzima unayewaita wajinga hao watoto walioshindwa kuhesabu 1-100 kwa lugha ya kiingereza????
Leo ndo nimeamini "chizi hajijui"
 
Back
Top Bottom