Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kcb.jpg
bypass.jpg
nb.jpg
galitos.jpg
nbo tao.jpg
nbo.jpg
park.jpg
 
(kijitonyama onwards are all slum like i am happy for the the guys who brought the photos...ilala(density) looks like the interior of kitengela i. kajiado...am happy for the photos that prove...kariakoo is just like umoja phase v....u cant get any biz district in dar to compete with westie hurligham,msa road ,upper hill,kilimani...its only posta that has the might to

Sent using Jamii Forums mobile app
upper hill au westland ikifikia density kama hii ya ilala nitag😂😂😂👇👇
6B52941E-E89D-40F4-BA3F-88F01080E82C.jpeg
 
wakazi wa dar wanamaisha duni sana yani hadi noma pia jiji la Dar kuna watu masikini wengi wanaisha kwenye mabanda unplanned settlement pia Dar ni jiji lenye vijiji ndani yake
hahaha.... vijiji ndani ya jiji tena? ndio maana dar haina metro. sehemu iliyoendelea dar inatoshana na Mombasa ambayo ni 300sqkm,,, au hata Mombasa ni kubwa mno.
 
Mwanangu alisomea English medium akapata matokeo mazuri la 7 serikali wakamchagua secondary ya kata siku alipoanza class wale waliotoka shule za serikali majority hawakujua kuhesabu 1-100 in English! Mwanangu alishangaa sana, akawa darasani anaulizwa sana na wenzake mwalimu ameongelea nini?
Bila jitihada za kumwamisha shule angedumazwa pale kwanza uhaba ni mkubwa sana.
Kiujumla hali ya Elimu nchini ni mbaya sana hususan walimu na mitaala, hivi kwanini shule zote zisiwe kwenye kiwango cha English medium?
Kwa style tuliyo nayo tutaendelea kuajiri na kusimamiwa na wakenya kwa miongo mingi!

Sent using Jamii Forums mobile app
bora tu kumuhamisha maana sio kwa ujinga huo ambao angeambukizwa huko.
hongera.
 
hahaha.... vijiji ndani ya jiji tena? ndio maana dar haina metro. sehemu iliyoendelea dar inatoshana na Mombasa ambayo ni 300sqkm,,, au hata Mombasa ni kubwa mno.
You can't find a bigger rich suburbs the size of Nyali.
 
Back
Top Bottom