Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Downtown
ba8ebc3d4579857c3644030e5a915e89.jpg
 
Dar jiji moja ovyo sana.

Bado mtaisubiria JIJI KUU NAIROBI.

Dar imeishinda NBO kwa wingi wa watu tu. Of which hao watu, wengi wanaishi vibandani. POLENI

Sehemu nzuri Dar ni countable. Huu ndio ukweli. Lumumba za kiTZ watasema povu lakini tushawazoea. Nyinyi mko in denial. Low self-esteem people.
IMG_20180806_131009_782.jpg
IMG_20180806_130948_976.jpg
IMG_20180806_130910_867.jpg
 
hahaha.... vijiji ndani ya jiji tena? ndio maana dar haina metro. sehemu iliyoendelea dar inatoshana na Mombasa ambayo ni 300sqkm,,, au hata Mombasa ni kubwa mno.
naona ww na ndugu yako munajiliwaza😂😂😂😂👆👆👆👆
 
Dar jiji moja ovyo sana.

Bado mtaisubiria JIJI KUU NAIROBI.

Dar imeishinda NBO kwa wingi wa watu tu. Of which hao watu, wengi wanaishi vibandani. POLENI

Sehemu nzuri Dar ni countable. Huu ndio ukweli. Lumumba za kiTZ watasema povu lakini tushawazoea. Nyinyi mko in denial. Low self-esteem people. View attachment 841448View attachment 841450View attachment 841451
haya zoom unioneshe slum hapo😂😂👇👇👇😂 we ulijua mzungu mjinga sana
A7A8B152-B7CA-403B-B6FF-75DF496BE861.png
 
mzungu sio hayawani😂😂👇👇👇👇
google earth hio watu wanatafuta slum dar kwa torch usiku na mchana lakini wapi👇👇👏👏👏👏👏👏👏
nairobi
E69DC4BD-89C6-47C1-A787-EE1261B7D19D.jpeg








dar es salaam
A4FE52A9-B3D5-432E-9205-C820C1EFED5A.jpeg
 
Hahaha Mbeleni tu karibu na bahari

Kijiji chenu badooo
endelea kutafuta slum kwa torch ukipata nitag😂😂😂😂👆👆👆👆👆

kama ukikosa okota picha za nigeria na sieralione useme dar umeskia😝😝😝👏👏
 
Back
Top Bottom