Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ahem
IMG_20180816_223542.jpg
 
😂😂business minded
ongeeni vya kuongea lakini safari hii mutanyooka tu kama ndege imesimamishwa kufungwa wifi systems na ile ni brand new aircraft bado iko majaribioni sijui nn mnashangaa hapo au munafkiria hii ni kama hzo ndege zenu mlizokodi kwa wazungu😂😂😂😂😂
 
heheh leo nimeamini kumbe msumari wa air tanzania sasa umeanza kuwagusa 😂😂😂😂😂😂😂 yani dream liner kusimama kwa ajili ya kufungwa wifi systems imekua nongwa kwao 😝😝😝😝 kweli magu wewe ni chuma
 
ongeeni vya kuongea lakini safari hii mutanyooka tu kama ndege imesimamishwa kufungwa wifi systems na ile ni brand new aircraft bado iko majaribioni sijui nn mnashangaa hapo au munafkiria hii ni kama hzo ndege zenu mlizokodi kwa wazungu😂😂😂😂😂
Ndege hununuliwa ikiwa na kila kitu mnachohitaji. Ati WiFi😂😂😂😂 kazi yake imeisha tu hivyo
 
Ndege hununuliwa ikiwa na kila kitu mnachohitaji. Ati WiFi😂😂😂😂 kazi yake imeisha tu hivyo
ile ni ndege mpya kabisa na bado iko ndani ya kipindi cha majaribio ndio maana unaona mpaka leo haijaanza safari za nje ya nchi
msikilize engineer huyo na mkurugenzi wa airtanzania😂😂😂 kununua ndege hamujawa lakini munajifanya wajuaji😝😝👇👇👇



 
Back
Top Bottom