Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The average monthly salary ya waKenya wanaolima/kuza maua na other horticultural products ni around 25000-35000 Ksh


Hizo ni milioni ngapi za TZ?
ni milioni 3 za kitanzania.

yaani biashara zenye faida namna hiyo watu wanalipwa pesa ya kununua kuku!!!
 
CCM ni chama cha ujinga sana
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
sio mimi nimeandika ni mwenzenyu huyu kujeni Nairobi muone ndege huku ndege nikama gari kwa barabara, ziko kila mahali
sasa hazijawahi kuharibika hizo za kila mahali!!!!
 
ni milioni 3 za kitanzania.

yaani biashara zenye faida namna hiyo watu wanalipwa pesa ya kununua kuku!!!
Aah! Milioni tatu hununua kuku kule TZ? Hivi nikija TZ ni rahisi sana mKenya awe billionaire?

Anyway, kama wewe sio mmiliki wa hizo biashara NYAMASA.
 
SGR imekua ikifanya kazi more than a year. Umeskia imeharibika hata kidogo? Ndege yenu ata haijakawia miezi mbili ishaanza kufanyiwa ukarabati

LANES ndugu
wewe hii mimba changa mbona inakukimbiza namna hii,ndege ni kitu senstive sana usilinganishe na upuuzi.
 
Aah! Milioni tatu hununua kuku kule TZ? Hivi nikija TZ ni rahisi sana mKenya awe billionaire?

Anyway, kama wewe sio mmiliki wa hizo biashara NYAMASA.
njoo,si unajua lakini MO,ni mtz hatoki kenya.na ndio anakimbiza na hizi hizi za madafu.
 
The average monthly salary ya waKenya wanaolima/kuza maua na other horticultural products ni around 25000-35000 Ksh


Hizo ni milioni ngapi za TZ?
Iyo ni around 700,000 tsh kwa 35000ksh
 
Aah! Milioni tatu hununua kuku kule TZ? Hivi nikija TZ ni rahisi sana mKenya awe billionaire?

Anyway, kama wewe sio mmiliki wa hizo biashara NYAMASA.
Kama huwezi andika kiswahili fasaha tumia lugha nyingine , usituandikie matusi humu boya wewe , * Nyamasa ndo nini ?
 
Back
Top Bottom