Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

asante lakin punguza hasira na plz usipanic😂😂😂😂

hamna hasira hapo.. .. I am only getting entertained by your trying too hard to show that Tanzania is developing. Chema chajiuza kibaya chajitembeza.. .. be the judge. Tihihihi
 
hiki kiwanda cha Dangote Cement kwani kinakaaje.... eti hakina umeme na vile Melissa alkua akijichocha hapa ati kitakuwa the biggest in East & Central Africa na kitakuwa na uwezo wa kuzalisha a zillion tonnes.
ni kweli ni mtambo wa simiti au ni mtambo wa kusaga mahindi kama vile vya kijijini vya kinangurumishwa dakika kadhaa kisha kinazimwa kama vile bajaji kucheki weather.
afaic, mitambo ya simiti haifai kuzima hata kwa sekunde moja, one second is equal to Ksh1billion loss.
wacheni ldc aitwe ldc
nakuhurumia kwa sababu unapenda kuzingatia maoni ya watu wa mitandaoni bila kujua wana interest gani??juzi tu hapa nimerekebisha nyumba ya mama angu iko maeneo ya yombo,dar es salaam,nimetumia cement ya dangote kwa gharama ya tsh 13000/=kwa kila mfuko!!
Usiongopewe cement ya dangote dar ipo ya kumwaga tu!!na ndo bei rahisi vibaya mno..
 

Attachments

  • downloadfile.png
    downloadfile.png
    66.2 KB · Views: 23
hamna hasira hapo.. .. I am only getting entertained by your trying too hard to show that Tanzania is developing. Chema chajiuza kibaya chajitembeza.. .. be the judge. Tihihihi
tanzania kwenye issue of developments bro huiwezi hata kwa ukucha 😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇
View attachment 829292
huyo jamaa akili hana huyo,kaangali hayo matuta akadhani hiyo samawati ndo rangi ya ardhi,kumbe hajaelewa ile passage ya juu imeandikwa kwamba huyo mama kachanganya udongo na mbolea!!wakenya ni wa ovyo hapa EAC,mnashindwa kuelewa concept ndogo tu hiyo!!
 
Back
Top Bottom