Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,297
- 3,648
poleni sana watu wa Chato.Chato chief ni 20 na hali ni mbaya
iweje sehemu zingine wanauza Tsh9,400/- ama huko ni kwa wapiga madili?
poleni sana watu wa Chato.Chato chief ni 20 na hali ni mbaya
Tena nimenunua juzi tu. Huko wapi ??poleni sana watu wa Chato.
iweje sehemu zingine wanauza Tsh9,400/- ama huko ni kwa wapiga madili?
Dar.Tena nimenunua juzi tu. Huko wapi ??
mtwara cement inauzwa mpaka 7000 tsh yani sawa na 330ksh
wamekosa slum sasa watahamia kwenye GDP😂😂😂😂😂Vijana wa kikenya google map inawadanganya sana. Using basic definition of slum dar hakuna hata moja.
Hapo mwenge ndo home ni moja ya estate za mwanzo kabisa za mfano ilijengwa kupitia ushirika wa wananchi unaoexist hadi leo.
alikua anaonganishiwa gas na sasa mitambo yake yote inaendeshwa na gas wala hakukua na vitisho😂😂😂😂i thought aliishia. kumbe ilikuwa vitisho baridi za wiki tatu
bahati nzuri mm niko dar na camel cement ni moja ya kampuni yetu😂😂😂😂Dar.
hata Tsh7,000 pia waeza pata Mtwara, ni ukweli au uongo?
tanzania sio nchi unaeza jifananisha nayo utaumia sana ndugu 😂😂😂😂Dar.
hata Tsh7,000 pia waeza pata Mtwara, ni ukweli au uongo?
uko na shares ngapi hapo na market share yake tanzania ikoje. do they really make any profit ama ni charity organization?bahati nzuri mm niko dar na camel cement ni moja ya kampuni yetu😂😂😂😂
are you for real??? kiwanda cha umeme na hakuna umeme???? huku kuzima na kuwasha ndio hasara inaingia btw....Hapa Kuna ukweli Ndani yake, ila Pia Dangote akiingia Sokoni Bei Itashuka sana sana,Sasa hivi Dangote Hasafirishi Cement DSM,Kwa Kuwa Anazalisha kidogo sana,Almost Anatembea Massa Kadhaa anazima Matambo Sababu ya Umeme,Inaonekana Bado Hajaonganishwa na Gesi,Labda Mchakato Unaendelea...kutembeza Kiwanda cha Cement kinahitaji Umeme Mkubwa.sijui Nani Anachelewesha,Au ni Yeye Mwenyewe Hajaweka Mitambo ya Umeme Au kuna Figisu?
Ila Inatakiwa Dangote Aingie Sokoni Mapema ili Bei ya Cement ishuke,Pia Sidhani kama watu wanaweza kumpiga Ban Asilete DSM, sijui,ila Lolote lawezekana Kuna Fitna Viwanda vya Cement wakubwa wenye hisa Zao.
BUT Cement inatakiwa Sokoni kwa Wingi ili Kushusha Bei,sio watu wachache kunufaika na Kodi haiongezeki...
Wanaunda treni ya 'umeme'are you for real??? kiwanda cha umeme na hakuna umeme???? huku kuzima na kuwasha ndio hasara inaingia btw....
imagine kiwanda cha simiti pekee hakina umeme. kinazimwa na kuwashwa kama ki-scooter.Wanaunda treni ya 'umeme'
Wakae wakijua arusha kuna makao makuu ya EAC na mahakama ya haki za kibinaadam ya africakwanza rekesbisha kauli kenya inakua kwa 4.4% na tanzania inakua kwa 7.2% usichanganyikiwe kwanza nimekuomba official source sasa nashangaa unaniletea maelezo na porojo za vijiweni
ndugu yangu economy ya arusha hakuna mji wowote outside nairobi na monbasa unaeza kabiliana nayo![]()
NOT SURE Mkuu , but lolote lawezekana,swali kuu ni Cement Mtaaani imeadimika na Supply ya Cement ya Dangote ni Ndogo ukilinganisha na wakati mwingine wowote na Ukilinganisha na wapinzani wake?Nawe tafuta majibu for discussion Ila Ukienda Mtwara unaweza kupata Majibu Sahihi sana,kwa Uwezo wa Dangote akitembea Full Kunakuwa Hakuna uhaba ya Cement Mtaani,So something has not right somewhere?are you for real??? kiwanda cha umeme na hakuna umeme???? huku kuzima na kuwasha ndio hasara inaingia btw....
Melissa ndo Nani Mkuu?hiki kiwanda cha Dangote Cement kwani kinakaaje.... eti hakina umeme na vile Melissa alkua akijichocha hapa ati kitakuwa the biggest in East & Central Africa na kitakuwa na uwezo wa kuzalisha a zillion tonnes.
ni kweli ni mtambo wa simiti au ni mtambo wa kusaga mahindi kama vile vya kijijini vya kinangurumishwa dakika kadhaa kisha kinazimwa kama vile bajaji kucheki weather.
afaic, mitambo ya simiti haifai kuzima hata kwa sekunde moja, one second is equal to Ksh1billion loss.
wacheni ldc aitwe ldc
Sasa hapa Unamlaumu Nani Mkuu?imagine kiwanda cha simiti pekee hakina umeme. kinazimwa na kuwashwa kama ki-scooter.
Apo kitu cha kukusumbua ni avic Au izo minara? 2020 ndio mtaumia zaidiYani meaning since watanzagiza wajenge hizo 3 blocks they have courage to debate with us![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
They are about to confess aky walai! Mtajua hamjui, Mshawahi fikiria 2020 mtapeleka wapi maskio zenyu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
but hatuna haraka...time will tell, NBO itawapiga kichapo cha nyoka...you will never dream to compete with NBO againView attachment 828721View attachment 828727View attachment 828729View attachment 828734