Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

vita vya ardhi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
sijui wapi mulikosea wakenya sijui mchawi wenu ni nani


 
tanzania kwenye issue of developments bro huiwezi hata kwa ukucha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Exactly my point, let the development speak for itself. Otherwise listening to nonstarters like you make the birds in the forest chirp.
 
42020781790_1e48ce8bb2_o.jpg
 
kwanza kabisa jihurumie mwenyewe kwa kuwa mkaazi wa nchi maskini wa kutupwa.
pili, huwa napenda kupata info from the hoses mouth bila ushabiki wala udanganyifu.
tatu, kuna mpuuzi nimemnasa kwenye mtego alipotaka kuniaminishia kuwa cement inauzwa Tsh7,400/-
kwa hiyo kwa akili yako info zinapatika kwa watu wa mitandaoni??unajua interests zao??kama kweli unataka info za kuaminika kwa nini usizitafute kwenye official source za dangote cement co.Lt?? . ..wewe ni wa kuhuruniwa uko na furaha kabisa kuishi failed states!
 
nakuhurumia kwa sababu unapenda kuzingatia maoni ya watu wa mitandaoni bila kujua wana interest gani??juzi tu hapa nimerekebisha nyumba ya mama angu iko maeneo ya yombo,dar es salaam,nimetumia cement ya dangote kwa gharama ya tsh 13000/=kwa kila mfuko!!
Usiongopewe cement ya dangote dar ipo ya kumwaga tu!!na ndo bei rahisi vibaya mno..
kwanza kabisa jihurumie mwenyewe kwa kuwa mkaazi wa nchi maskini wa kutupwa.
pili, huwa napenda kupata info from the horses' mouth bila ushabiki wala udanganyifu.
tatu, kuna mpuuzi nimemnasa kwenye mtego alipotaka kuniaminishia kuwa cement inauzwa Tsh7,400/-
 
kwa hiyo kwa akili yako info zinapatika kwa watu wa mitandaoni??unajua interests zao??kama kweli unataka info za kuaminika kwa nini usizitafute kwenye official source za dangote cement co.Lt?? . ..wewe ni wa kuhuruniwa uko na furaha kabisa kuishi failed states!
ulitarajia nipate info toka kwa watembeaji barabarani? wewe una akili nzuri kweli????
how comes sehemu zingine bei ni 7400 na kwengine ni 13,000 - 20, 000 (Tsh).... you see that range?
dullard
 
ulitarajia nipate info toka kwa watembeaji barabarani? wewe una akili nzuri kweli????
how comes sehemu zingine bei ni 7400 na kwengine ni 13,000 - 20, 000 (Tsh).... you see that range?
dullard
tuliza akili yako ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†
 
Back
Top Bottom