saadeque
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 2,170
- 1,356
huu nao ni mji....hehee
huu nao ni mji....hehee
sema ni wapi na ufungulie thread yake...kama ni mwanza tuipeleke na mombasa..acha uogaWacha kukalili
nahii sio Dar
ongea lingine![]()
![]()
Hahaha pole sana70% ya wasee wenu huishi kwa slums...ata kwa mangoma zenu video huonyesha..ie utanipenda,kwetu rayvanny
kaka wewe fanya unachojisikia kufanya mradi huvunji sheria za jf.usiwafatishe wao,wao ndio inabidi wakufate wewe.Wameniharibia hawataki niendelee walipost zao sisi tulitulia kimya tumeanza zetu kelele ila sio poa mlivofaya hahhahahahhahaah
Pole sanasema ni wapi na ufungulie thread yake...kama ni mwanza tuipeleke na mombasa..acha uoga
Which Nairobi dude?Morocco square ni 22, 20, 9, 3floors. kaa mbali na Nairobi. semeni mupewe mji wa Nakuru ndio mutatoana kijasho
Kuna mpuuzi mmoja kule JamiiForums.comKule TalkKenya sijui whatever you call it post ina miaka miezi sita ina viewers 20![]()
![]()
![]()
![]()
Eh. unaona jengo zuri, kumbe ni mansion ya mtu vittu 9, 3,, floors ati Morogoro Square. What the helljamaa wameanza kuruka sijui mara world ,mara kawe city na walikua wanaesabu ongoing skyscrapers above 20 zenye zinajengwa.....wameishiwa
bure kabisa.......huna jipya sasaPole sana
wala si Mwanza hiyo ni Chuga bwana
Kwa nini tuondoe?ondoa Tpa na Pspf, Mombasa inawatandika kwa kila sector. sasa munalia nini?
Nabado namba lazima isomeke tukama ulaya...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nimekwambia tulieni niendelee mbona waoga sana nyie hahahaahhahahah dahhhhh mwaka mbaya huuuuujamaa wameanza kuruka sijui mara world ,mara kawe city na walikua wanaesabu ongoing skyscrapers above 20 zenye zinajengwa.....wameishiwa
hahaaa...leo nmecheka sana.wamekua wanyonge kupindukiaEh. unaona jengo zuri, kumbe ni mansion ya mtu vittu 9, 3,, floors ati Morogoro Square. What the hellView attachment 493321
Wacha kukalili
nahii sio Dar
ongea lingine![]()
![]()
Hahahahahah hawa kwa sifa tu hawajamboWeka picha acha ubashite
tutakuruhusu uendelee ukituhesabia izo ongoing projects above 20 floors umeeka apa.tuambie ni ngapi....hazifiki ata kumiNimekwambia tulieni niendelee mbona waoga sana nyie hahahaahhahahah dahhhhh mwaka mbaya huuuuu
ata usiulize...utapata mshtuko wa moyo...hahaaafloor ngapi eti ?
Anzisha thread mbona we muoga Nimekwambia Mombasa ntakupa mwanza alaf kisumu utachagua mwengine nikupe ipi kati ya zanzibar.tanga.arusha au mbeya hahhahaahhahahuu nao ni mji....hehee