Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

usitoke nje ya mada. tuko Jf. kama unatufukuza tutoke Jf, kuja unikatie wifi yangu
Haufukuzwi kama vile ambavyo
kule kenya talk hawawezi kutufukuza
lakini huo ndio ukweli
viforum vyenu ni uchwara havina mvuto
 
hahaaa....leo hutoki humu.nmekwambia tumekushika pabaya.20 floors ziko wapi apo.mmetaka wenyewe above 20 ongoing,hamkujua mnajipalia makaa?
Wewe huwez bishana na mm nimekwambia hvi Google unayo choma ndani hii ndio bongo 2017 unbelievable year hahahaahaha
 
Wewe huwez bishana na mm nimekwambia hvi Google unayo choma ndani hii ndio bongo 2017 unbelievable year hahahaahaha
huu uongo tunaumaliza apa...uache kudanganya umma.we r not academic dwarfs...🙂🙂🙂🙂🙂🙂😀😀😀😀😀😀
 
Poor Tanzanians. wengi wako Mombasa ni wasaidizi wa mechanic (watu wa mkono) na wanawake wao ni wakupika chakula kwenye hoteli ndogondogo na ukahaba
Poor Kenyans wapo kibera wanaishi kama vitimoto
 
Sanaa tower bongo
Sanaa Tower_zps7hlkhmsk.jpg
16978576647_a9dbc84055_o.png
Screenshot_2017-04-09-17-36-06.png
 
hahahahaha... we mtu unadharau sana aisee..dah..eti kiforum.
Saizi naicheki nakuta kuna Pm
umiifungua Unakutana na Mpumbavu mmoja anakutisha uondoke JamiiForums.com
hahaha
Kiforum chenyewe uchwara!!
Ukabila ukabila
sie wageni tunashindwa kuchangia lolote!!
fc2d690203ecfd2de467d14baadbad85.jpg
 
leo umekua mnyonge ndugu.....hahaaaa..daily tunawambia mnakua but nairobi is always ahead mnabisha
Mnyongee wakat kazi ya moto unaiona hapo hehehehhehheh bado tulia niendelee Leo Nina nyie mwanzo mwisho mumeigia patamu sana leo
 
Nhc 7 eleven
Coming Soon! 711 (Seven Eleven)
~ Part of Upcoming Satellite City at Kawe ~
#43

Rain Drops
I'll Fly Away/Blue skies.



Join Date: Oct 2012
Location: Muleba, Tanzania.
Posts: 18,586


Aaah shit. That's sad. I cant start a thread over there if its only 17 floors.

I thought the age of 17 floor projects are over from NHC
sad.gif

 
Back
Top Bottom