LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
This is waht a mall looks like guys
Underground parking![]()
![]()
hii kitu ina ice rink...
And Dar CBD alone equal to cbds of Nai+Msa+Nakuru + Kusumu Combined.U guys have only the CBD pekee...that's a fact I came to install sage in kariokor last year and its only the CBD that u can talk about but nai has 3 cbds....malls good infrastructure suburbs national park etc Nairobi is still way ahead you'll take ages to catch up...a city is not only the cbd
Juzi nilikua hapo aise underground parking ni kubwa hakuna mfano na kama hujui njia humo ndani hutoki![]()
![]()
hii kitu ina ice rink...
Mtaua watu nyie. Duh!!. Naendelea kukusanya picha. Hapa tunataka kumaliza ubishi.Hvi hii theater inajengwa sehemu gani dar?
View attachment 493186
Alaf nimeskia Mara world ujenzi unaendeleaMtaua watu nyie. Duh!!. Naendelea kukusanya picha. Hapa tunataka kumaliza ubishi.
Lol dar CBD ata westy haitosiAnd Dar CBD alone equal to cbds of Nai+Msa+Nakuru + Kusumu Combined.
Endelea kupost ata picha za westgate uziletekuna wakenya wanalalamika ati kwanini siweki picha za dar badala yake naweka picha/screenshots za nairobi zinazo zungumzia mabaya tu ya jiji hilo.
jibu ni kwamba kwetu sisi kila mtu ana task yake.toka siku za kwanza za thread hii,tuliamua kuwepo hapa kimkakati.
hatukurupuki,tumejipanga na ndio maana mnaona kila mtu ameachiwa atawale eneo lake analolimudu ili "kuwanyorosha" wapinzani wetu katika kiwango cha juu.
moja kati ya task yangu ni kuweka screenshots zozote zinazo zungumzia ubovu wa jiji la nairobi kwasababu nalifahamu vizuri jiji hilo.
baada ya kufanikiwa vizuri sana ktk kuweka "screenshots za matope" mpaka kupelekea mkanganyiko kwa wapinzani wetu,sasa naangazia suala uhalifu na matukio yanayohatarisha usalama wa raia na mali zake.
kwa nairobi matukio ya kihalifu ni mengi mno na yanatisha kuzidi uhalifu wa dar es salaam.hii inachochewa na umasikini wa kipato miongoni mwa vijana wengi ambao ni.ma-jobless pia inachochewa kwa kuwepo pengo kubwa kati matajiri na masikini.Kenya masikini ni masikini totally kuanzia yeye mpaka uzao wake wote atakao zaa.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
tpa na pspf....ebu wamalize avic na hass haraka ndio hawa waache kutusumbuaPia upige suburbs za mbagala tuone Si flats tatu new.