Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kuna wakenya wanalalamika ati kwanini siweki picha za dar badala yake naweka picha/screenshots za nairobi zinazo zungumzia mabaya tu ya jiji hilo.

jibu ni kwamba kwetu sisi kila mtu ana task yake.toka siku za kwanza za thread hii,tuliamua kuwepo hapa kimkakati.

hatukurupuki,tumejipanga na ndio maana mnaona kila mtu ameachiwa atawale eneo lake analolimudu ili "kuwanyorosha" wapinzani wetu katika kiwango cha juu.


moja kati ya task yangu ni kuweka screenshots zozote zinazo zungumzia ubovu wa jiji la nairobi kwasababu nalifahamu vizuri jiji hilo.

baada ya kufanikiwa vizuri sana ktk kuweka "screenshots za matope" mpaka kupelekea mkanganyiko kwa wapinzani wetu,sasa naangazia suala uhalifu na matukio yanayohatarisha usalama wa raia na mali zake.

kwa nairobi matukio ya kihalifu ni mengi mno na yanatisha kuzidi uhalifu wa dar es salaam.hii inachochewa na umasikini wa kipato miongoni mwa vijana wengi ambao ni ma-jobless pia inachochewa kwa kuwepo pengo kubwa kati matajiri na masikini.Kenya masikini ni masikini totally kuanzia yeye mpaka uzao wake wote atakao zaa.


357d77b9ce5f4a2953b378b4906d0725.jpg
alafu utuletee za mafuriko dar
 
kuna wakenya wanalalamika ati kwanini siweki picha za dar badala yake naweka picha/screenshots za nairobi zinazo zungumzia mabaya tu ya jiji hilo.

jibu ni kwamba kwetu sisi kila mtu ana task yake.toka siku za kwanza za thread hii,tuliamua kuwepo hapa kimkakati.

hatukurupuki,tumejipanga na ndio maana mnaona kila mtu ameachiwa atawale eneo lake analolimudu ili "kuwanyorosha" wapinzani wetu katika kiwango cha juu.


moja kati ya task yangu ni kuweka screenshots zozote zinazo zungumzia ubovu wa jiji la nairobi kwasababu nalifahamu vizuri jiji hilo.

baada ya kufanikiwa vizuri sana ktk kuweka "screenshots za matope" mpaka kupelekea mkanganyiko kwa wapinzani wetu,sasa naangazia suala uhalifu na matukio yanayohatarisha usalama wa raia na mali zake.

kwa nairobi matukio ya kihalifu ni mengi mno na yanatisha kuzidi uhalifu wa dar es salaam.hii inachochewa na umasikini wa kipato miongoni mwa vijana wengi ambao ni ma-jobless pia inachochewa kwa kuwepo pengo kubwa kati matajiri na masikini.Kenya masikini ni masikini totally kuanzia yeye mpaka uzao wake wote atakao zaa.


357d77b9ce5f4a2953b378b4906d0725.jpg
utuletee za panya road pia uelemishe umma
 
Leta pics za unplanned city tuone vizuri.
subiri nimalizane kwanza na ma-screenshot za robbery maana zipo nyingi sana na zinaongezeka kila wakati huko twitter.

many Kenyans use twitter to express their problems so it's very easy for me to get what I want.
 
Naona tayari maadui zetu wameanza kupoteana katikati ya uwanja wa vita.hahahahaha... tulieni sindano iwaingie.chezea watz nyinyi....
 
Hivi hapo Wakenya wanachunga kondoo au tembo? Hapo ndo mnapoharibu. Maana tembo wa kushikwashikwa hivo hana tofauti na wa India, Halafu kwann mkipost picha, haitapita picha 5 bila kurudia kupost kale ka.kichuguu chenu (round pillar) cha Nairobi cha mwaka wa 50, cjui kuna kizizi gani hapo!
 
Hivi hapo Wakenya wanachunga kondoo au tembo? Hapo ndo mnapoharibu. Maana tembo wa kushikwashikwa hivo hana tofauti na wa India, Halafu kwann mkipost picha, haitapita picha 5 bila kurudia kupost kale ka.kichuguu chenu (round pillar) cha Nairobi cha mwaka wa 50, cjui kuna kizizi gani hapo!
TVCwk7c.jpg
Pprs6Lhh.jpg
TFnFw86.jpg
IFraEAM.jpg
 
Back
Top Bottom