Kambalanick
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 1,157
- 1,052
NAIROBI
😀😀😀😀😀 povuuuu umekua contractor now hhahahhhahhaahhahahathe bulding was initially supposed to be 22 or 24floors. wewe waiona kwa picha na mm naiona kwa dirisha langu. 26floors na bado yapanda
22 only bro uongo wa nn sasa hahahahahahaha
View attachment 493079
Yeah. Whatever. Huo mjengo nauona kila siku na bado floors zinapanda. halijaisha kujengwa. saa hizi imefika 26floors. wacha liishe kabisa mpaka nione finishing yake ndio nitajua actual floors ni ngapi. distance ya hio building na mm ni only 200m😀😀😀😀😀 povuuuu umekua contractor now hhahahhhahhaahhahaha
35 floors hiloMwenye kujua hili jengo gan na litapanda floor ngap aniambie
Liko makumbusho pemben ya Millenium tower nje ya citycentre
Sahv naona loko floor ya 21![]()
![]()
![]()
Sifa tu hamujambo hahahhahahahaha kazi munayo huu mwaka hahhhahahhahahahYeah. Whatever. Huo mjengo nauona kila siku na bado floors zinapanda. halijaisha kujengwa. saa hizi imefika 26floors. wacha liishe kabisa mpaka nione finishing yake ndio nitajua actual floors ni ngapi. distance ya hio building na mm ni only 200m
We hujui nai wewe. Haujawai toka darSifa tu hamujambo hahahhahahahaha kazi munayo huu mwaka hahhhahahhahahah
Kwann nibishane na wewe mtoto wa mwembe tayari hahahahhahhhahahaWe hujui nai wewe. Haujawai toka dar
Sija post kwa muda ... bado kadhaaWhaa Kambalanick umekam na ubaya. awa ni wa kuwapeleka mos mos. tunawaambia na hawaskii. They recently built Pta sijui Pspshit wakajaza kichwa maji. Speed naona umekam nayo ata wanaeza pasuka akili
Utanikumbuka siku moja @Jichoboy count my wordsSifa tu hamujambo hahahhahahahaha kazi munayo huu mwaka hahhhahahhahahah
Hakuna kitu anapost zaido ya repeatation maana walipost wakina wanjala, kina ojey , na nairobi walaker mpaka wakachoka so bado mm sijaona jipya hapo hhhhghahahahhaWhaa Kambalanick umekam na ubaya. awa ni wa kuwapeleka mos mos. tunawaambia na hawaskii. They recently built Pta sijui Pspshit wakajaza kichwa maji. Speed naona umekam nayo ata wanaeza pasuka akili
Nikukumbuke wewe mm nimeish na wakemya wengi nitatukukumbuka kwa lipi hutaki iwe 35 floors au hahhahahhhahaha mwaka huuuuUtanikumbuka siku moja @Jichoboy count my words
Linaitwaje35 floors hilo
niambie jina ya hili jengo35 floors hilo