Melvin 16
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 483
- 500
Hakuna mtu anachukia wakenya hapa hatuna ukabila sisi kuna wakenya wapo hapa toka jf imefunguliwa na mpaka leo wapo (usilete ukabila wako humu)usitutie nuksi ila kuna watu kama wewe mdomo kama choo lazima ule za uso.Na sasa kina kadoda na icho walitumia lugha mbaya but waezi blockiwa....ata icho amesema said anataka vita zikue Kenya...mko xenophobic mnachukia wakenya sana