Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_1530470897.192680.jpg
we’re back... ebu nipe like kama tupo pamoja tena
 
Wazee wa upper hill & Westland wako wap tumerejea kuwapaka dawa
Dawa gani whilst the rot in Tz has been exposed? niliwambia budget yenyu 2018/19 haifiki 14 trillion nikapuuzwa with a deficit of another 2 trillion. sasa pesa ya kujenga reli ipo wapi?
 
Dawa gani whilst the rot in Tz has been exposed? niliwambia budget yenyu 2018/19 haifiki 14 trillion nikapuuzwa with a deficit of another 2 trillion. sasa pesa ya kujenga reli ipo wapi?
14trillions pesa ya nchi gani iyo?
Budget ya Tz ni 32trillions ...pesa ya reli kwan reli imeanza kujengwa Leo? Tangu ujenzi uanze haujawahi kusimama buda fuatilia budget ya wizara ya ujenzi
 
Dawa gani whilst the rot in Tz has been exposed? niliwambia budget yenyu 2018/19 haifiki 14 trillion nikapuuzwa with a deficit of another 2 trillion. sasa pesa ya kujenga reli ipo wapi?
Wacha kujiaibisha kijana
Hujui hata kile unacho kizungumzia wewe mwenyewe
Reli inajengwa usiku na mchana
Bado unatuletea hadith
 
Wacha kujiaibisha kijana
Hujui hata kile unacho kizungumzia wewe mwenyewe
Reli inajengwa usiku na mchana
Bado unatuletea hadith
Wanajifanya hawaoni but hawataamini ,Na sio reli pekee kila idara wanafanya yao
 
Mtu apigie simu akina ichogal and the likes seems they dint get the memo
 
Back
Top Bottom