Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kijana wenu anazingatia emojis sasa? Calling on all Tanzanians of good will. Tafadhali saidieni huyu kijana wenu.

Bado nitakusisitizia sasa lakini bila emojis:

Hatutaki in any way WHATSOEVER kushindana na Dar. Dar inataka by ALL MEANS kushindana na NBO
upload_2018-7-4_11-9-9.jpeg
 
Kijana wenu anazingatia emojis sasa? Calling on all Tanzanians of good will. Tafadhali saidieni huyu kijana wenu.

Bado nitakusisitizia sasa lakini bila emojis:

Hatutaki in any way WHATSOEVER kushindana na Dar. Dar inataka by ALL MEANS kushindana na NBO
upload_2018-7-4_11-10-32.jpeg
 
Kijana wenu anazingatia emojis sasa? Calling on all Tanzanians of good will. Tafadhali saidieni huyu kijana wenu.

Bado nitakusisitizia sasa lakini bila emojis:

Hatutaki in any way WHATSOEVER kushindana na Dar. Dar inataka by ALL MEANS kushindana na NBO
upload_2018-7-4_11-13-12.jpeg
 
No No No No!

Hatutaki in any way WHATSOEVER kushindana na Dar. Dar inataka by ALL MEANS kushindana na NBO

Levels ndugu!
ukheukhe ukhe ukehe😀😀😀😀😀 kinyago ukichonge mwenyewe alaf kikutishe
upload_2018-7-4_11-14-45.jpeg
 
hehehe nimecheka sana yani kila mtu ww ni mgonvi wako dah😀😀😀😀😀😀
Kujadiliana imegeuka Ugomvi kwa waTZ?

Ukiona hoja imeingiana na ina make sense apana badilisha njia na kulialia ati ni ugomvi. Focus nawe pia leta hoja zenye Zita make sense
 
mm nimeshapambana na watu kama ww zaidi ya 10 ndugu rejea post za nyuma utajionea hehehe😀😀😀😀😀
Najua na natambua.

Ndio maana nilipoanza kupost kwenye hii forum nilikuambia mimi nitakuvumilia pamoja na wenzako unless bundles ziishe ama nikose Wi-Fi
 
unafanya utafiti panapokuwa na jambo unalotaka kulijua kwa niliyoyasema yanafahaminka hamna haja ya utafiti! endelea kuwa mbuni kwa kuficha kichwa kwenye mchanga ukidhani hauonekani.
Shida kuu sana baina ya waKenya na waTZ.
waKenya ni watu wabunifu na watapenda sanasana kufanya utafiti. Wewe naona ni representation of your people.. Ati 'hamna haja ya utafiti' alaar? Mtasongaje mbele kama nchi mfikie waKenya kama hivi ndivyo mnavyofikiria? FOCUS kijana
 
Shida kuu sana baina ya waKenya na waTZ.
waKenya ni watu wabunifu na watapenda sanasana kufanya utafiti. Wewe naona ni representation of your people.. Ati 'hamna haja ya utafiti' alaar? Mtasongaje mbele kama nchi mfikie waKenya kama hivi ndivyo mnavyofikiria? FOCUS kijana
ubunifu wa kuiba maana munaongoza kua wezi na corruptions hakuna kitu munabuni zaidi ya kua wezi 😀😀😀😀😀😀😀
 
Shida kuu sana baina ya waKenya na waTZ.
waKenya ni watu wabunifu na watapenda sanasana kufanya utafiti. Wewe naona ni representation of your people.. Ati 'hamna haja ya utafiti' alaar? Mtasongaje mbele kama nchi mfikie waKenya kama hivi ndivyo mnavyofikiria? FOCUS kijana
hapo vipi 😀😀😀😀😀😀😀
upload_2018-7-4_11-25-30.jpeg
 
ubunifu wa kuiba maana munaongoza kua wezi na corruptions hakuna kitu munabuni zaidi ya kua wezi 😀😀😀😀😀😀😀
Tunajivunia sana Kuwa waKenya. We wouldn't have it any other way.

Hizi corruption zote mnaimba lakini niko sure mnashangaa niaje Kenya bado iko imara na huu wizi wote. My friend pesa zinazoibiwa Kenya ni bajeti ya Tanzania.
 
Hahaha najua ume sweat sana katikati ya matako.

Nenda kabadilishe suruali, uje na vitu ambazo hatujaona, ama uzime simu mara moja

Dar inakaa kushout tu "When I grow up I want to be Nairobi "
leo nimekutana na mkenya kiazi😀😀😀😀😀😀
upload_2018-7-4_11-26-39.jpeg
 
Tunajivunia sana Kuwa waKenya. We wouldn't have it any other way.

Hizi corruption zote mnaimba lakini niko sure mnashangaa niaje Kenya bado iko imara na huu wizi wote. My friend pesa zinazoibiwa Kenya ni bajeti ya Tanzania.
heheh unajisufu kwa wizi na corruption hehehe ndio maana ardhi yote imechukuliwa na family ya kenyatta mumebakia kusongama kibera 2.5m people in kibera😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Tunajivunia sana Kuwa waKenya. We wouldn't have it any other way.

Hizi corruption zote mnaimba lakini niko sure mnashangaa niaje Kenya bado iko imara na huu wizi wote. My friend pesa zinazoibiwa Kenya ni bajeti ya Tanzania.
upload_2018-7-4_11-29-56.jpeg
 
heheh unajisufu kwa wizi na corruption hehehe ndio maana ardhi yote imechukuliwa na family ya kenyatta mumebakia kusongama kibera 2.5m people in kibera😀😀😀😀😀😀😀😀
Tembea Kenya mkuu.. Usiwe wa kuropokwa tu
IMG_20180703_083102.jpg
 
Back
Top Bottom