ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
which year send me that link 😀😀😀World Bank msema kweli.. Tanzania 32%
Kenya 56%
Lamba lolo View attachment 802187View attachment 802188View attachment 802189
which year send me that link 😀😀😀World Bank msema kweli.. Tanzania 32%
Kenya 56%
Lamba lolo View attachment 802187View attachment 802188View attachment 802189
Mimi hata TZ ya 90s 60s 1800s sijawai kuipa fikra buda! Nawasihi mjikakamue labda inshallah mtakuja kuifikia hadhi ya Kenya (na Dar hadhi ya NBO)huyo anafkiri bado ni ile tz ya 90s😀😀😀
unaniletea link za 5 to 6 yrs back serious😀😀Mimi hata TZ ya 90s 60s 1800s sijawai kuipa fikra buda! Nawasihi mjikakamue labda inshallah mtakuja kuifikia hadhi ya Kenya (na Dar hadhi ya NBO)
2016.. 2years ago. Na TZ Sidhani mmekua na miradi ya kuiongeza percentage of population with access to electricity. Kenya kumekua na mradi inaitwa THE LAST MILE PROJECT (ambayo niko sure unaitambua kwani uko obsessed na Kenyan media sites) ndio maana nikaweka Kenya at 69%which year send me that link 😀😀😀
ukhakha tuma hio link kwann unaogopa kutuma link😀😀😀😀😀😀😀2016.. 2years ago. Na TZ Sidhani mmekua na miradi ya kuiongeza percentage of population with access to electricity. Kenya kumekua na mradi inaitwa THE LAST MILE PROJECT (ambayo niko sure unaitambua kwani uko obsessed na Kenyan media sites) ndio maana nikaweka Kenya at 69%
You can look it up. Hapa facts tuu
kebs ni wasanii sana, nawafahamu vizuri, kwao pesa kwanza afya baadae, rushwa kenya itawamalizaKitu ingine buda KEBS yetu ni ISO certified entity. Haiwezi kubali substandard ama harmful substances to the Kenyan populace. Kabla muzidi kusherekea fake news kutoka Kenya afadhali mfanye consultations mjue what's real and what's not
Nairobi itafikiaje Dar kama already Iko mbele kwa kila fronts. Alar, mtu alie mbele atamfikiaje yule ako nyuma sana? Ama mimi ndio sielewi unachomaanisha. Nafikiri akili yako kidogo punguaniunaniletea link za 5 to 6 yrs back serious😀😀
nilikwambia nairobi kufikia dar labda 30yrs mujenge kweli kweli
2016 haioneshi majibu inaonesha majibu ya 1990 sasa niletee data ya 2016😀😀😀😀Link Hii hapa Ichoboy Access to electricity (% of population) | Data
iko mbele kwenye slums, corruption, unemployment rate, tribalism, police killing, no security, no water, no food😀😀😀😀😀😀Nairobi itafikiaje Dar kama already Iko mbele kwa kila fronts. Alar, mtu alie mbele atamfikiaje yule ako nyuma sana? Ama mimi ndio sielewi unachomaanisha. Nafikiri akili yako kidogo punguani
acha kujidanganya, tatizo la wakenya hawajielewi, wanaona sifa kusindikiza wachache wenye kenya yao (watawala-kikuyu and their allies, uchumi-owned by wites na wakenya wachache walio madarakani approx. 10, ardhi yenye rutuba- wanasiasa wakubwa hasa familia ya kenyatta na their allies), wakenya wengine mmebaki mkitanga tanga kama kukuNairobi itafikiaje Dar kama already Iko mbele kwa kila fronts. Alar, mtu alie mbele atamfikiaje yule ako nyuma sana? Ama mimi ndio sielewi unachomaanisha. Nafikiri akili yako kidogo punguani
Hahahaha ndio maana wakenya walikimbia toka hapa. Wewe akili yako punguani aisee. Hujui kusoma graphical data. Unawaza ni kama ulidrop out of school. Nahurumia wale unaotangamana nao on a daily basis. Jesus Christ!2016 haioneshi majibu inaonesha majibu ya 1990 sasa niletee data ya 2016😀😀😀😀