thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,557
Halafu bahati mbaya wamekuja Dar.. trust me soon utasikia wengine wamesajiliwa Stand utd, Mbeya city and the likes. Kwanza viwanja wanavyo chezea Dar ni motisha tosha kukataa kurudi Kenya.na atawasimulia wenzake....