lets go jaribu twende kazi sasa😀😀😀
I don't stoop too low my friend. We are Middle and you are the least developed. Mko na kina Niger, Somalia, Haiti na kadhalika.
lets go jaribu twende kazi sasa😀😀😀
ukahukakha magufuli kiboko ya kenya😀😀Kama Somalia inawashinda sasa na mnacook growth ya 7.2%.....Now I know when they say, There is a meaning in a name. Yani Presidaa ni Pombe and you all get drunk
uhehehe mwanaume mzima unamaneno ya kanga bana haifai mwanaume vitendo kama unajiamini jaribu alaf uone we chagua mkoa wowote tanzania alaf nitakuoneshaI don't stoop too low my friend. We are Middle and you are the least developed. Mko na kina Niger, Somalia, Haiti na kadhalika.
uhehehe mwanaume mzima unamaneno ya kanga bana haifai mwanaume vitendo kama unajiamini jaribu alaf uone we chagua mkoa wowote tanzania alaf nitakuonesha
60s ata sio 90skama unajiamini leta huo utumbo wako nikuoneshe heheheh mulijua tanzania ni ile ya 90s😀😀😀
we try and see😛😛😛 we ni mwanaume jaribu sasa
umebadilisha gear hahaha😀😀😀😀Leta Link... Uone kama hamtoshani na Haiti
😀😀😀😀 hasira ya mkizi furaha ya mvuviTanzania bado iko
60s ata sio 90s
😀😀😀😀Kama Somalia inawashinda sasa na mnacook growth ya 7.2%.....Now I know when they say, There is a meaning in a name. Yani Presidaa ni Pombe and you all get drunk
kweli kabisa yaani hakuna analolijuahuyo anapost tu ndo wale wa kwenye vijiwe vya kahawa!!
utakuta wamekaa wanaanza "aaahh rwanda yaani rwanda wametuacha mbali,kigali mji wao mzuri sana"na kumbe hajawahi hata kwenda masikini dah! hajui Nairobi ni miongoni mwa miji yenye slums mbaya kuliko miji yote afrika,mji mchafu,hakuna ustaarabu,usafiri wa hovyo sijawahi ona,!!!asalale.. nilidata Kigali nilikuta slum hizoo doh! doh! doh!..
😀😀😀😀 hasira ya mkizi furaha ya mvuvi
endelea kuandika kitabu cha 87b😀😀Number huwa hazidangayi kenya gdp$87bn tz gdp$ 54bn kwaivo tz bado iko 60s
AtleastNanyuki ka town kadogo sana bt design ni za kimaitaifa za nyumbaView attachment 799849 View attachment 799850 View attachment 799851 View attachment 799852 View attachment 799854
dah mate yamenitoka aisee mambo ya casava.....ukimix na chill ni noma sana pembeni samaki mkubwa wakukaangwa bila kusahau chai ya maziwa....yaani hapo ni poa sana ni normal good life ya mitaa ya wananchi wskipato cha chini....

wanatuzingua hawa ni vitukohii ndio nanyuki ipambane na musoma😀😀
ehh Mungu nipe umri nione mengi😛😛
View attachment 799898
View attachment 799902
View attachment 799903