huyo anapost tu ndo wale wa kwenye vijiwe vya kahawa!!
utakuta wamekaa wanaanza "aaahh rwanda yaani rwanda wametuacha mbali,kigali mji wao mzuri sana"na kumbe hajawahi hata kwenda masikini dah! hajui Nairobi ni miongoni mwa miji yenye slums mbaya kuliko miji yote afrika,mji mchafu,hakuna ustaarabu,usafiri wa hovyo sijawahi ona,!!!asalale.. nilidata Kigali nilikuta slum hizoo doh! doh! doh!..
yeah, still learning. tupo Sawa.Vizuri. Now you are a good student. Keep following me.
tuusan namwambia ivo anasema niko na uzalendo wa kijinga, hizi ni town ndogo ndogo sijui tukienda kubwa kutakuajeKwa wale walevi wanasemaa Kenya ni Nairobi.... Now leave Nairobi alone. We want to show you the rest of Kenya.
Nanyuki estates baby
View attachment 799853
View attachment 799855
View attachment 799856
View attachment 799857
View attachment 799858
usiangaike kijana hiyo ni jangwani kitambo tu nyumba hizo zilishavunjwa kipindi pombe anaingia tu madarakani..!!hata hivyo inaonekana wakenya hamuelewi maana ya slums eeh??nenda kafananishe hizo nyumba na vibanda vya kayole,kiambui,korogocho..etc
tuusan namwambia ivo anasema niko na uzalendo wa kijinga, hizi ni town ndogo ndogo sijui tukienda kubwa kutakuaje
usiangaike kijana hiyo ni jangwani kitambo tu nyumba hizo zilishavunjwa kipindi pombe anaingia tu madarakani..!!hata hivyo inaonekana wakenya hamuelewi maana ya slums eeh??nenda kafananishe hizo nyumba na vibanda vya kayole,kiambui,korogocho..etc
hehehe nilitegemea nione below poverty in line in kenya labda 20% heheh kumbe 45%😀😀😀😀kwa mfano ukitaka kumuelewesha mtu wa SA kwamba kenya Imeizidi tz kwa GDP ya $26bn.
utamuonesha kitu gani,maana more than 40 year mnatuzidi uchumi,but hali yenu ya maisha tunashindwa kuielewa majirani.
search Google dar slumsTihahahhaaaaa..... Kweli wewe ni mlevi... Yani Presidaa akiwa Pombe... Nchi nzima Inalewa?? ? Duuuh. Don't lie to the world. those slums are there and that's where 70 % of Dar is slum live. Usidharau kwenu. Itabaki tu kuwa kwenu.
moshi ndio kiboko ya nakuru na eldoret😀😀Moshe town tunapostiwa nyumba moja moja tu.....hiyo nyeri town imefunika sawasawa..........
jaribu uone niko tayar twende kazi😀😀😀Hata Kapsabet inafunika hiyo moshi mbaya sana
below poverty line in tz is 22%Na nyinyi 70% use below 2 dollars a day... Nowonder you are malnourished. It was very visible in those Simba players.
below poverty line in tz is 22%
unenployment rate is 2.7% hahaha😀😀😀
raha sana yani
I know you want me to show you pictures because you are least traveled you get to know kenyan towns. Kweli JF imekusaidiajaribu uone niko tayar twende kazi😀😀😀
khekhekhe musoma baby😀😀😀
below poverty line in tz is 22%
unenployment rate is 2.7% hahaha😀😀😀
raha sana yani
ukhekhekhe narudia tena below povert lin in tanzania is 22% and unemployment rate is 2.7%Wrong.... If it were so you would be better than Germany. Too sad you only hear that. The real truth 70 % of you live below poverty line..... Msijali... Mungu atawasaidia
Mbavu zangu ona huyu analeta slum kulinganisha na nanyuki😀😀😀😀😀