tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Uzalendo wa kshenzHata Kapsabet inafunika hiyo moshi mbaya sana
Uzalendo wa kshenzHata Kapsabet inafunika hiyo moshi mbaya sana
Na nyinyi 70% use below 2 dollars a day... Nowonder you are malnourished. It was very visible in those Simba players.ukheheheh uchumi umeshikwa na investors mumekiwa bellow poverty line 45%😀😀😀😀
unemployment rate 40%
. Tehehehee. The truth hurts. You also know thatUzalendo wa kshenz
. It's Disrespectful.Ni aibu sana kulinganisha Jiji (Nairobi) na uchafu (Dar).
Ni aibu sana kulinganisha Jiji (Nairobi) na uchafu (Dar). Wakuu, tuache uzalendo UCHWARA. Nairobi iko vizuri sana, huwezi kamwe kuilinganisha Nairobi na jiji la kusadikika kama Dar. Nakaribisha mapovu ijapokuwa hayawezi kubadili ukweli.
kweli kabisa mkuu. Hapa tunafanya comparison, hakuna cha respect wala uzalendo.. It's Disrespectful.
Kwanini uwanja ulikuwa na matope?The stadium was not poor. If it were, it would be for both teams.... Your players are just to weak for life....
Nanyuki ka town kadogo sana bt design ni za kimaitaifa za nyumbaUzalendo wa kshenz
Kwanini msipande mahindi hàpo muepukane na njaa?
sheng hiyo......Unaongea kisukuma ama lugha ipi???
uliwahi fika nairobi......?Ni aibu sana kulinganisha Jiji (Nairobi) na uchafu (Dar). Wakuu, tuache uzalendo UCHWARA. Nairobi iko vizuri sana, huwezi kamwe kuilinganisha Nairobi na jiji la kusadikika kama Dar. Nakaribisha mapovu ijapokuwa hayawezi kubadili ukweli.
usiwasahau pia mungiki hao wanatafuna watu na mbwaTutaweka mbwa ili wachunge watu wetu wenye Albinism wasiibiwe na Watangatangagiza
hizo zote ni ni tourism houses hapo nyumba ya maana ni moja tu yaani modern house ni hii
usiwasahau pia mungiki hao wanatafuna watu na mbwa
huyo anapost tu ndo wale wa kwenye vijiwe vya kahawa!!uliwahi fika nairobi......?