Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aaaw, so you admit your players are just weaklings...... I hate to you use the word lazy...
Huwezi kumleta mchezaji Kama Neymar Jr Akacheza kwenye ule uwanja na yale majamaa sura za Rhinos halafu utegemee performance, Mijitu inatisha kama nyati halafu imekamia kuua watu, thats why mpira wa Kenya Hauna Mvuto, mtaishia kututamani tu watz na maisha yetu coz thats what you guys always do.
 
4.4% growing economy vs 7.2% alaf unasema munaendelea munaendelea kwenda wapi??😀😀
au munaendelea kwenda kaburini maana kila janga limewakumbatia nyie

7.2%For the last 15 years and the gap between you and us is ever widening..... Hata bubu anajua there is something wrong in you people. How do you explain that????? Leta link
 
Huwezi kumleta mchezaji Kama Neymar Jr Akacheza kwenye ule uwanja na yale majamaa sura za Rhinos halafu utegemee performance, Mijitu inatisha kama nyati halafu imekamia kuua watu, thats why mpira wa Kenya Hauna Mvuto, mtaishia kututamani tu watz na maisha yetu coz thats what you guys always do.

Tihahahhaaaaa.... I like your comedy... Nikutafutie nafasi kwa Churchill raw ama Churchill live???
 
Leta link first
zaidi ya miaka 50 hamuna maendeleo zaidi ya hichi kibasi kunguni tupu😀😀😀😀😀 tuzo waliwapa
223E88D6-0A28-45D0-A1AF-7DF7416F15E6.jpeg
 
Huwezi kumleta mchezaji Kama Neymar Jr Akacheza kwenye ule uwanja na yale majamaa sura za Rhinos halafu utegemee performance, Mijitu inatisha kama nyati halafu imekamia kuua watu, thats why mpira wa Kenya Hauna Mvuto, mtaishia kututamani tu watz na maisha yetu coz thats what you guys always do.

My friend nipatiwe maisha ya Mdanganyika na maisha ya mbwa..... Aaaw boy.. I would rather be a dog.
 
7.2%For the last 15 years and the gap between you and us is ever widening..... Hata bubu anajua there is something wrong in you people. How do you explain that????? Leta link
Sorcery,make you think your heading forward while ur goin backwards
 
4.4% growing economy vs 7.2% alaf unasema munaendelea munaendelea kwenda wapi??😀😀
au munaendelea kwenda kaburini maana kila janga limewakumbatia nyie
watu hawana hata uwanja mmoja wa kisasa wa Mpira, Hata kurusha matangazo ya Michezo hawawezi, wanadai wameendelea, ukienda kule turkana jitu limekondeana, njaa kali lakini linaongea kingereza hatari
 
watu hawana hata uwanja mmoja wa kisasa wa Mpira, Hata kurusha matangazo ya Michezo hawawezi, wanadai wameendelea, ukienda kule turkana jitu limekondeana, njaa kali lakini linaongea kingereza hatari

Tihahahhaaaaa... tuliza dawa ikuingie... Hii dawa ni ya kuhara pia
 
7.2%For the last 15 years and the gap between you and us is ever widening..... Hata bubu anajua there is something wrong in you people. How do you explain that????? Leta link
tanzania ina just 2 yrs ya hio 7.2 nenda usome economy ya tanzania ndio utajua sio kuropoka tu hapa na kila mwaka tanzania imekua ikipanda since 2005😀😀

unapambanisha growing economy ya 7.2 vs 4.4 hahhaha pole sana ndio maana leo munastaajabu na kuumia kuona vile dar imejengwa kwa speed within just 10yrs hahah
 
Nyie 7.2 % mbona Somalia sasa inawashinda??? Explain this with the help of a link
wanetushinda kwenye nn uongee kama dume eleza kitu ueleweke wanetushinda kwenye nn alf mm ntakuonesha wapi tanzania imewashinda nyie
 
Semeni Nyie mmewahishinda hata makaa kwa mashindano yapi???
tuna record kuliko nyie ya vikombe vya cecafa kuanzia club mpaka timu ya taifa,,,,,

tunamiliki makombe ya dunia under 18 kwa football nyie mmewahi hata siku moja[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kwikwikwikwi. Najua sindano zimekuingia kwa kasi sana. Simba ni team kubwa sana kijana. Nipatie statistic ya team za kenya kufunga team za TZ. Tuanzie kwenye Kagame Cup. Yaani sisi tumewapiga mabao kila wakati. NNa ndio maana Michuano ya Afrika mashariki na kati mara kwa mara hufanyikia TZ. Huko kenya ligi huwa zinakosa mvuto kutokana na timu za kenya kukamia mechi na kuchukulia vita. Tunasubiri kagame cup inayotambulika na CAF na FIFA pia. Simba inaendeshws kibiashara kijana.
hapo umenena aje na statistics.......uone wanavyopotea
 
4.4% growing economy vs 7.2% alaf unasema munaendelea munaendelea kwenda wapi??😀😀
au munaendelea kwenda kaburini maana kila janga limewakumbatia nyie
Ichoboy take that 7.2% growth rate, multiply by your last yr's GDP and then do the same for Kenyan GDP. You will see the opposite of what you are preaching here. The results will be the monetary value you added in the previous financial year.
 
We fala siongelei club ranking. Kuna mwenzenyu hapo nyuma alisema Tz iko mbele ya Kenya kwa FIFA ranking so nataka aone hiyo. Umeskia fala
[emoji2] [emoji2] [emoji2] usilie punguza munkali wa kutusi
 
tanzania ina just 2 yrs ya hio 7.2 nenda usome economy ya tanzania ndio utajua sio kuropoka tu hapa na kila mwaka tanzania imekua ikipanda since 2005😀😀

unapambanisha growing economy ya 7.2 vs 4.4 hahhaha pole sana ndio maana leo munastaajabu na kuumia kuona vile dar imejengwa kwa speed within just 10yrs hahah

wrong, For as long as I have been here... Your growth rate has been extronomical but on the ground you remain rooted to the poorest countries of the world.... Hiyo ukinipatia explanation tosha... Nitakununulia chips mayai wakati wa Krismasi....
 
tuna record kuliko nyie ya vikombe vya cecafa kuanzia club mpaka timu ya taifa,,,,,

tunamiliki makombe ya dunia under 18 kwa football nyie mmewahi hata siku moja[emoji2] [emoji2] [emoji2]

Team kama hiyo unadescribe ingekuwa world cup....
 
wanetushinda kwenye nn uongee kama dume eleza kitu ueleweke wanetushinda kwenye nn alf mm ntakuonesha wapi tanzania imewashinda nyie

Kila kitu... Tafuta link uone... Utahara.... Change your choir bwana bure hata Turkana County inawashinda
 
Back
Top Bottom