Prince Chapee
Senior Member
- Jul 31, 2017
- 179
- 126
hehehe Noma Sana jombiiiiLeta link
hehehe Noma Sana jombiiiiLeta link
If you make it hapo CAF nitakuelewa, Ila hizi Bonanza kawaida tu boss ndio maana tumewaletea team B.Lol........Everton here we come
This was a good training for CAF matches too
wanafurahia ushindi wa sportpesa wakati mashindano mengine yaja na huwa hawana record
hehehe Noma Sana jombiiii
Kwikwikwikwi. Najua sindano zimekuingia kwa kasi sana. Simba ni team kubwa sana kijana. Nipatie statistic ya team za kenya kufunga team za TZ. Tuanzie kwenye Kagame Cup. Yaani sisi tumewapiga mabao kila wakati. NNa ndio maana Michuano ya Afrika mashariki na kati mara kwa mara hufanyikia TZ. Huko kenya ligi huwa zinakosa mvuto kutokana na timu za kenya kukamia mechi na kuchukulia vita. Tunasubiri kagame cup inayotambulika na CAF na FIFA pia. Simba inaendeshws kibiashara kijana.bag of excuses..........you take nothing serious nowonder you are an LDC....in Kenya everything is taken seriously both positive and negative
nioneshe ofisi ya gor mahia ukipata nitag😀😀
Kwikwikwikwi. Najua sindano zimekuingia kwa kasi sana. Simba ni team kubwa sana kijana. Nipatie statistic ya team za kenya kufunga team za TZ. Tuanzie kwenye Kagame Cup. Yaani sisi tumewapiga mabao kila wakati. NNa ndio maana Michuano ya Afrika mashariki na kati mara kwa mara hufanyikia TZ. Huko kenya ligi huwa zinakosa mvuto kutokana na timu za kenya kukamia mechi na kuchukulia vita. Tunasubiri kagame cup inayotambulika na CAF na FIFA pia. Simba inaendeshws kibiashara kijana.
ofisi ya gor mahia iko wapi??😀😀😀Leta link
wale kalio Bangi fc walivyokamia mechi aisee, Kama Vita.Mimi nawapongeza simba wamecheza kistaarabu na kutuliza mihemko ya wakenya. Mpira ni burudani na siyo vita bana. Hata hivyo nimegundua timu za kenya zikikutana na timu za TZ wakenya wanaondoka kwenye mpira na kufanha mechi iwe kama vita. All in all Go mahaya ni team ndogo sana kwa simba kwa analysis zangu nilizoziona leo.
if
If you make it hapo CAF nitakuelewa, Ila hizi Bonanza kawaida tu boss ndio maana tumewaletea team B.
Hayo kijana mambo simple sana. Sisi tulishaga zoea mpira wa utani wa jadi. Wewe naona unaona kitu cha ajabu. Kwikwikwikwikwi. Mpira kwetu ni burudani ndiyo maana kuna watani wa jadi. Na Dar darby is the one of bigest in Africa. Kwikwikwikwi. Tuna wasubiri kagame vipofu.kwi kwi kwi... we are getting entertained by you people.... Amazing!
View attachment 799570
Govi Depay, Simba ni Team Kubwa, Not like your Gor Mahia, Congrats though.Sawa sawa.... Wapi Wadanganyika waje wachukuwe Simba wao
View attachment 799559
Leta link
Kwikwikwikwi. Najua sindano zimekuingia kwa kasi sana. Simba ni team kubwa sana kijana. Nipatie statistic ya team za kenya kufunga team za TZ. Tuanzie kwenye Kagame Cup. Yaani sisi tumewapiga mabao kila wakati. NNa ndio maana Michuano ya Afrika mashariki na kati mara kwa mara hufanyikia TZ. Huko kenya ligi huwa zinakosa mvuto kutokana na timu za kenya kukamia mechi na kuchukulia vita. Tunasubiri kagame cup inayotambulika na CAF na FIFA pia. Simba inaendeshws kibiashara kijana.
Govi Depay, Simba ni Team Kubwa, Not like your Gor Mahia, Congrats though.
Kha!! Hebu ona huyu naye. Unajua hata ranking ya clubs? England au Hispani zinaweza zikawa chini kama team ya nchi. But they have best clubs in the world. Ndiyo maana wachezaji bora wanatoka huko kijana. Club ni pesa. Go Mahaya hawana pesa kijana.
poor stadium
Hapa umeanza kutoa mavi sasa. Nimekuambia ulete statistics za mechi inazomtambulika kwenye FIFA baina ya team za Kenya na TZ. Ukishidwa naleta mimi.Hakuna team kubwa hapo.... That is equal to our Kariobangi sharks... In terms of skill hiyo team ingekuwa kwa Kenyan Premier league ingekuwa inafuta mkia.... Na Giza mwana Govi. Mtu mzima akikuongelesha unatii.