Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mbona towns zenu za Kaskazini ziko organised than the rest?
Hata Morogoro and dodoma,kahama ziko organized. ..but kask ofcz kumestaarabika nadhan ni watu kuwajibika tu...
Moshi inaeneo dogo wakiongeza eneo na kuimprove miundombinu itapewa hadhi ya jiji Ila kwa sasa bado ni Municipal
 
Ukizoom vizur sidhan utashindwa kumuona
IMG_1528538258.778270.jpg

IMG_1528538289.759033.jpg
IMG_1528538301.899048.jpg
 
Mbona moshi isipewe kibali kuwa City kuliko towns. za ufala Ka iringa,mbeya,na tanga
Tanga Ni more organized than Moshi hata mapato ni mengi kwa vile wanabandari viwanda na shughuli nyingi za kilimo cha biashara na mazao ya chakula. ...
Huijui Tanga ndio maana unapadharau
 
umepotea chief cooker

mombasa ni sawa na tanga,,tena tanga iko bomba sana zaidi ya mombasa
Sasa kwa akili zako za ki-LDC unasahau bandari kubwa Zaidi Ukanda huu iko Mombasa Kenya. Sasa swali rahisi ambalo huwezi shindwa kujibu ni hili...Je kwa Bandari Kenya imeichapa Dar es Salaam?
 
Sasa kwa akili zako za ki-LDC unasahau bandari kubwa Zaidi Ukanda huu iko Mombasa Kenya. Sasa swali rahisi ambalo huwezi shindwa kujibu ni hili...Je kwa Bandari Kenya imeichapa Dar es Salaam?
kivipi.....?....


halafu usiulize maswali yakilevi
 
kwavile nairobi iko organized??😀😀😀
ushuzi mtupu
kuna mwingine huyu demu wake na chid benz mwasiti wa nairobi anakuja hapa na maswali ya kitoto eti bandari ya mombasa imeichapa bandari ya dar.....sijui anataka ajibiwe tusi
 
AbassChizzy haya gusa na kwenye hotel between moshi and eldoret au nakuru alaf uone kama utatoka salama hapa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 hii sio ile tz ya 90s
 
Back
Top Bottom