El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Dar ni kutamu kila siku!!unasubiri holiday wakati watu tunakula bata daily...Naeza penda dar kama holiday destination..kunakaa raha tupu
sasa kama kila siku unakula holiday, utafanya kazi saa ngapi?Dar ni kutamu kila siku!!unasubiri holiday wakati watu tunakula bata daily...
EAC yote hakuna jiji tamu kama dar aisee...
usihofu mkuu mimi kazi nishafanya zamani huko nikiwa 20s..sasa kama kila siku unakula holiday, utafanya kazi saa ngapi?
usihofu mkuu mimi kazi nishafanya zamani huko nikiwa 20s..
sasa nina madogo wanapiga kazi mi ni mwendo wa bata tuuuuu 24 hours monday to monday..job naibuka nikiamua!!
mpe onyo asige atakufa njaa
we pambana na hali yako kila mtu anakula urefu wa kamba yake...sasa kama kila siku unakula holiday, utafanya kazi saa ngapi?

nenda kijijini ukalime. wacha vijana wavunje mifupa. wazee kama wewe mjini ni sumbua tuusihofu mkuu mimi kazi nishafanya zamani huko nikiwa 20s..
sasa nina madogo wanapiga kazi mi ni mwendo wa bata tuuuuu 24 hours monday to monday..job naibuka nikiamua!!
Naeza penda dar kama holiday destination..kunakaa raha tupu
go on dreaming my friend wewe dar huijui nenda uliza wanaojua wakupe habari njema😀😀😀Nairobi ni jiji la biashara.ndo maana kila kitu ni fasta-fasta...dar ni mji ya kurelax
usifkiri watu huku hawana kazi kama kenya😀😀sasa kama kila siku unakula holiday, utafanya kazi saa ngapi?
hehehe punguza hasira basi😀😀😀nenda kijijini ukalime. wacha vijana wavunje mifupa. wazee kama wewe mjini ni sumbua tu
Man, this picture is very scary... could that road be going to hell????