YoungD
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,275
- 1,332
inasumbua kichwa chako sana terminal three kumbuka pale kuna phase 2 baada ya one kuisha wakaunganisha na phase 2 😀😀😀 terminal 3 my friend is the biggest and modern terminal in east and central africa utake usitake
usini-mind, najua haya mambo ni ya kushangaa huko ldc. hapa .ke ni kawaida tu. yani sgr terminal ni bomba kuliko chochote tanzagiza. usijali ila mtafika tu..