Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

downloadfile-1 (12).jpg
IMG-20171031-WA0006.jpg
downloadfile (5).jpg
 
ila hawa gormahia wasidhani singida united ni team ya mzaha mzaha...gor wakizubaa basi fainali itakuwa ni kati ya simba vs singida(zote za tanzania).
 
Walioandika huo upuuzi wa slum tour ni hao hapo and it's obvious that they are some stupid Kenyans who hate Tanzania.

Whoever wrote that shit did not do enough research, the information can not be relied upon and it's just someone's opinion about TZ. View attachment 796624
yaani hata hawatusumbui kichwa hawa wakenya...
 
Angalia wakenya wanavyojua kuongopa:
Wameandika Dodoma ni part of Daressalaam wakati siyo!
Makosa....Tandika wameandika Taundika!
Na Kariakoo ameandika Kariokor!
Mwandishi anadai eti wale wachonga vinyago pale wenge wanaishi katika umasikini mkubwa na mwenge ni eneo la slums!

Uwongo mtupu kabisa. Ni wazi mwandishi haijui Tanzania wala Dar hata kidogo. Wamejaa chuki na TZ tu.View attachment 796649
yaani kapoteza mda wake kwa kuandika vitu vyakujifariji nafsi yake......

wapo humu humu
 
Back
Top Bottom