Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwa hiyo unataka kusema licha ya basi la gormahia kuwa chakavu, watu wa ushago hawalisherekei?.
SC20180605-211943-1.jpg
 
azam fc
Basi-maalum-la-kisasa-la-wachezaji-wa-Azam-FC-ambao-ni-mabingwa-wa-Ligi-Kuu.jpg
new%20bus.jpg
_MG_0271.JPG
3.jpg


simba sport club
IMG_0836.JPG
BASI+LA+SIMBA.jpg


yanga fc
busYanga.jpg
IMG_0835.JPG



singida fc
1.jpg
SINGIDA-UNITED-3.jpg



mbeya city fc
m2.jpg

1462791634860-jpg.345935



stand utd bus
UF3A2684.JPG
UF3A2611.JPG

bus-su.jpg



mbao fc
DSCF9470.JPG
MBAO%2BBASI.jpg


mtibwa sugar
PicsArt_11-01-11.18.27-660x400.jpg
PicsArt_11-01-11.20.13.jpg



maji maji fc
MAJIMAJI.jpg
 
Basi sio MPIRA... Mpira ni Vikombe na titles ama niaje
titles pekee sio mpira katika zama hizi za kileo.

mpira ni biashara na timu ya mpira ikitangazwa vizuri inaweza kuwa brand kubwa ambayo kibiashara inaweza ikatumika ku-generate fund bila hata kushinda mataji.

kwa kuliona hilo, club za tz zimewekeza sana katika brand ndio maana unaona club zote za mpira zinazoshiriki ligi kuu tanzania, zina mabasi ya kisasa kama timu za ughaibuni.
 
Hii azam kwanini Haiko kwa Ligi ama haiku qualify
ligi ipi unauliza? ya kenya ya tanzania?.

kama ni ligi kuu ya tanzania,azam fc ni mshindi wa pili wa league kuu ya tanzania ya vpl 2017-2018.

last season, azam fc ilikuwa ni mshindi wa tatu. vitu vingine msiwe mnauliza, muwe mna Google kwanza. otherwise mtakuwa mnajidhalilisha.
 
Back
Top Bottom